Mkuu to be honest bado cjawahi kukutana na hizo modem mpya za Airtel ili kuzifanyia ufumbuzi wa kusoma network nyingine. Azima hata modem ya mshikaji utumie kwenye pc yako halafu uniambie kama mail haitafunguka.Natumia modem ya airtel huawei mobile broadband E173
Mkuu hiyo kitu iko proved.huu ushauri umekaa ki PROMO zaidi
huu ushauri umekaa ki PROMO zaidi
Nimefunga mozilla firefox wakuu, still haitaki kufunguka, hapa nilipo nipo na rafiki zangu watatu wote wanatumia airtel, nitajaribu kumpata mwenye modem tofauti nijaribu kama wadau wanavyoshauri. asanteni kwa msaada wenui use the same model of modem na nasoma emails yahoo/gmail/hotmails , ninachokwambia jaribu kutuumia browser tofauit kufungua email na ninakwambia itakubali!
Natumia pc siku zote mkuu, sina simu yenye uwezo wa kunipa internet, natumia nokia zile nyeusi mmezoea kuziita obama.
nywila ndio unamaanisha nini?
hatimaye nimefanikiwa, nimeendelea kujaribu hatimaye imekubali ucku huu. thanks to allhuwa ndo tabia yake kugoma ku'sign in ila itakubali yenyewe endelea kujaribu
Next tym ikikutokea fanya nilivyokwambia sio mpaka usubiri ucku ama asubuhi. Airtel wana hilo tatizo mkuuhatimaye nimefanikiwa, nimeendelea kujaribu hatimaye imekubali ucku huu. thanks to all
mimi pia ilinisumbua kwa muda mpaka nilipobadili nywila ikawa haisumbui tena
Ndivyo alivyonishauri mkuu mwingine hapo juu, amesema pengine ni aina ya modem ninayotumia, ikiwa unatumia airtel na hupatwi na tatizo kama langu, basi pengine mi nitakuwa nasumbuliwa na kitu kingine. kuhusu uelewa wa techs ni kweli mkuu mi uelewa wangu ni mdogo sana na ndiyo maana nikauliza hata hili la kitoto.
Hata mi nilikuja kulielewa baadaye, but all in all elimu haina mwisho, ahsante kwa wote.Nahisi mathematics hajakukusudia wewe maana wewe ndio mtoa mada. Atakuwa amequote post yako kimakosa. If I am right!
Habari jf,
Ningependa kujua kama kuna mtu ana habari juu ya nini kinaendelea huko katika yahoo kwani ni wiki sasa haitaki kuniruhusu ku sign in, kuna mwingine ana-experience the same au ni mimi tu?
Hapana ni kweli kabisa na mimi nimehakikisha.huu ushauri umekaa ki PROMO zaidi
Hapana ni kweli kabisa na mimi nimehakikisha.
Nilipata shida sana kuingia kwenye accont yangu ya yahoo, nilipofanikiwa nilidhani nimekuwa hacked nikabadilisha password ajabu ni kwamba kesho yake nilikuwa na shida ile ile ingawa na sasa inatokea bado nikijaribu sana nafanikiwa kuingia baadaye.
Nahisi ni shida ya provider kama anavyosema mkuu Biohazard