Karao JF-Expert Member Joined Apr 25, 2011 Posts 1,057 Reaction score 603 Feb 2, 2014 #2 kazi kweeeeeeli kwa wenye jina hilo
Pancras Suday JF-Expert Member Joined Jun 24, 2011 Posts 8,143 Reaction score 3,848 Feb 2, 2014 #3 Kwa hiyo kama una jina hili na makazi yako ni kinondoni ni kosa na huaminiki tena!
kadakokigondile JF-Expert Member Joined May 17, 2013 Posts 1,872 Reaction score 635 Feb 2, 2014 #4 Angejitambulisha jina anaitwa Bill Gate anaishi mwadui angepata mkopo lakini yahaya kaharibu kusema anaishi kinondoni, maana mkopeshaji kajua huyu lazima atakua jamaa wa sembe
Angejitambulisha jina anaitwa Bill Gate anaishi mwadui angepata mkopo lakini yahaya kaharibu kusema anaishi kinondoni, maana mkopeshaji kajua huyu lazima atakua jamaa wa sembe