yahaya ajitokeza,amjibu lady jaydee


amefuria??? wakurya bana...vita ni vita muraaa....
 
anatafuta KIKI kwa kumjibu jide. kazaneni tu
 
Katafute bwana Facebook hapa hatupendelei matendo ya ushoga.

sikushangai, watu wa kabila linalokosea kati ya R na L wana hasira sana.

mwenye busara hukubali kurekebishwa pindi anapokosea, matusi ya nini sasa? kuwa mstaarabu.
 
...bongo fleva inaelekea kwenye utaarabu taarabuuu...hizo nyimbo hazitochukua muda ziTACHUJA tu
 
media zinapromote bifu, wanadai zinakuza mziki,wadau na wasanii wabovu

.:......mleta uzi acha gombanisha wasiogombana
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…