Husika na kichwa cha habari hapo juu
Nimepata mchumba kutoka South Africa ila ndugu yenu nauli ya kumtumia sina kumleta huku kwetu sina jamani watanzania wenzangu najua ss ni kitu kimoja msaada wenu no muhimu sana ili niweze kufanikisha ndoa yangu wote mtapewa kadi za harusi bure!
Natumaini ombi langu litashughulikiwa.
Wenu katika kulijenga taifa
JITUKUU