MTUNZA AMANI
Senior Member
- Jun 2, 2012
- 187
- 21
YAH: OMBI LA KUHAMISHIWA JANGWANI HIGH SCHOOL
Mimi ni Sadick francis Masilu, (BAED) ninaomba mamlaka zinazohusika na uhamisho na uteuzi mnipeleke nikafundishe JANGWANI HIGH SCHOOL sababu nina uzoefu wa kutosha na mbinu za kisasa za ufundishaji. Naahidi kua katika masomo yangu (History, Kiswahili) nusu ya darasa au zaidi wasipopata alama A mamlaka husika inifute kazi.
Kwa sasa ninafanya kazi mkoani Tabora kama mwalimu mwajiliwa wa serikali. Sihitaji gharama za kuhamishwa sababu nina wito wa kurudisha jina la JANGWANI.
Nawahakikishia nitaipaisha Jangwani.
MWL SADICK F. MASILU
0652583409
Mimi ni Sadick francis Masilu, (BAED) ninaomba mamlaka zinazohusika na uhamisho na uteuzi mnipeleke nikafundishe JANGWANI HIGH SCHOOL sababu nina uzoefu wa kutosha na mbinu za kisasa za ufundishaji. Naahidi kua katika masomo yangu (History, Kiswahili) nusu ya darasa au zaidi wasipopata alama A mamlaka husika inifute kazi.
Kwa sasa ninafanya kazi mkoani Tabora kama mwalimu mwajiliwa wa serikali. Sihitaji gharama za kuhamishwa sababu nina wito wa kurudisha jina la JANGWANI.
Nawahakikishia nitaipaisha Jangwani.
MWL SADICK F. MASILU
0652583409