Abbitto
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 547
- 756
Salam,nimejiunga jf miez kadhaa iliyopita,humu kuna watu wazima wenye heshima zao,wasomi na kila aina za level za watu iwe ni umri,elim na hali ya kiuchumi.
Mlipokaa na kuamua kuitana jina ( mkuu) sikuwepo nimelikuta.
Nimekaa nikatafakari kwa akili zangu hiz nilizopewa nikaona kuitana "mkuu" tunajikweza sana kwani mkuu ni mmoja aliye juu,hivyobasi.
Mnaonaje tubadilishe jina la kuitana ili tuuache ukuu kwa aliyeuumba ulimwengu?
Mlipokaa na kuamua kuitana jina ( mkuu) sikuwepo nimelikuta.
Nimekaa nikatafakari kwa akili zangu hiz nilizopewa nikaona kuitana "mkuu" tunajikweza sana kwani mkuu ni mmoja aliye juu,hivyobasi.
Mnaonaje tubadilishe jina la kuitana ili tuuache ukuu kwa aliyeuumba ulimwengu?