Kirchhoff
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 5,939
- 8,883
Hali yangu Kiuchumi
Nimetunukiwa Diploma 2010.
Nilikuwa kwenye Ajira hadi march 2015.
Nikapata wazo la kuongeza Elimu hivyo sikutaka kuajiriwa tena ili nisipate usumbufu wa kujiunga Chuo.
Nikalipa 50000 na 30000 kuomba chuo na mkopo respectively.
Umri unaruhusu bado miezi kadhaa nifikishe miaka 30.
Hali ya uchumi hainiruhusu kujisomesha, hivyo nikasoma vizuri HESLB guidebook na kupata Kozi ambayo nina vigezo vyote vya kupewa mkopo.
Sasa mkopo nimenyimwa naambiwa nikate rufaa. Rufaa yenyewe inanilazimu kusafiri hadi huko chuoni, kuiprint na kuiwasilisha kwa Afisa Mkopo wa chuo. Majibu ya Rufaa ni hadi January.
Naambiwa nieleze kwa nini nipewe mkopo wakati sijaambiwa kwa nini nimenyimwa mkopo huku vigezo ninavyo.
Chuo kishafunguliwa na hawataki mtu bila Ada na Bodi haijatoa tamko lolote kwa vyuo hivi.
Mwakani nitakuwa na miaka 30 na miezi kadhaa hivyo sitakuwa eligible kupata mkopo.
Nimeona Mwisho wa kuongeza Elimu ndo hapo. Ajira zenyewe Ngumu.. kujiajiri nako shida.
Kifuatacho..
Sitajiua, sitavuta bangi, sitajiunga na panya road wala vikundi vyovyote hatarishi.
Nimejaliwa mke na watoto wawili ambapo nilitegemea hadi namaliza. degree wangekuwa wanaanza shule hivyo wangesoma kwa raha kweli kweli.
Sasa nitaongeza idadi ya watoto hadi toa kauli ya ufyatuzi ashangae. Nitafyatua haswa na Mungu anisaidie.
Nitageuka Sperm Donor.
Mwanamke yeyote mwemye afya na kipato Bora ambaye hataki usumbufu wa mwanamme anitafute. Namnyuka Mimba na kumwombea ajifungue salama.
Sitakuwa mchoyo. Nilichopewa Bure nitakitoa Bure.
Nipende Kuwashauri Diploma wenzangu tulionyimwa mkopo Tusijisumbue kwenda Vyuoni wala Kukata rufaa kama hatuna uwezo wa kujisomesha.
Na Chuo si Ada tuu bali matumizi mengineyo pia ni gharama kubwa.
Yaani nadahiliwa Kozi ya kipaumbele unashindwa kunipa hata asilimia 60???
Basi wacha nikafyatue tuu maana sina namna.
Halafu watu kibao tuu tena wa Kozi zisizo kipaumbele wamepewa mkopo..
Nimetunukiwa Diploma 2010.
Nilikuwa kwenye Ajira hadi march 2015.
Nikapata wazo la kuongeza Elimu hivyo sikutaka kuajiriwa tena ili nisipate usumbufu wa kujiunga Chuo.
Nikalipa 50000 na 30000 kuomba chuo na mkopo respectively.
Umri unaruhusu bado miezi kadhaa nifikishe miaka 30.
Hali ya uchumi hainiruhusu kujisomesha, hivyo nikasoma vizuri HESLB guidebook na kupata Kozi ambayo nina vigezo vyote vya kupewa mkopo.
Sasa mkopo nimenyimwa naambiwa nikate rufaa. Rufaa yenyewe inanilazimu kusafiri hadi huko chuoni, kuiprint na kuiwasilisha kwa Afisa Mkopo wa chuo. Majibu ya Rufaa ni hadi January.
Naambiwa nieleze kwa nini nipewe mkopo wakati sijaambiwa kwa nini nimenyimwa mkopo huku vigezo ninavyo.
Chuo kishafunguliwa na hawataki mtu bila Ada na Bodi haijatoa tamko lolote kwa vyuo hivi.
Mwakani nitakuwa na miaka 30 na miezi kadhaa hivyo sitakuwa eligible kupata mkopo.
Nimeona Mwisho wa kuongeza Elimu ndo hapo. Ajira zenyewe Ngumu.. kujiajiri nako shida.
Kifuatacho..
Sitajiua, sitavuta bangi, sitajiunga na panya road wala vikundi vyovyote hatarishi.
Nimejaliwa mke na watoto wawili ambapo nilitegemea hadi namaliza. degree wangekuwa wanaanza shule hivyo wangesoma kwa raha kweli kweli.
Sasa nitaongeza idadi ya watoto hadi toa kauli ya ufyatuzi ashangae. Nitafyatua haswa na Mungu anisaidie.
Nitageuka Sperm Donor.
Mwanamke yeyote mwemye afya na kipato Bora ambaye hataki usumbufu wa mwanamme anitafute. Namnyuka Mimba na kumwombea ajifungue salama.
Sitakuwa mchoyo. Nilichopewa Bure nitakitoa Bure.
Nipende Kuwashauri Diploma wenzangu tulionyimwa mkopo Tusijisumbue kwenda Vyuoni wala Kukata rufaa kama hatuna uwezo wa kujisomesha.
Na Chuo si Ada tuu bali matumizi mengineyo pia ni gharama kubwa.
Yaani nadahiliwa Kozi ya kipaumbele unashindwa kunipa hata asilimia 60???
Basi wacha nikafyatue tuu maana sina namna.
Halafu watu kibao tuu tena wa Kozi zisizo kipaumbele wamepewa mkopo..