Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 17,456
- 21,162
- Thread starter
- #261
Aisee mbona unanivunjia heshima?Hence anampigia debe boss wake platinumz. Atathubutu wakat yake inatema maji tuu....
Aisee mbona unanivunjia heshima?Hence anampigia debe boss wake platinumz. Atathubutu wakat yake inatema maji tuu....
Mbona tunavunjiana heshima aisee?,Si mshika pembe? Anayo ya udalali
Ponda mali mufilis aja kwa speedponda mali kufa kwaja ohooo
Kwani Mimi celebrity?Na wewe unatumia kias gani kwa mwezi sio siku
JibuKwani Mimi celebrity?
Ili iweje?Jibu
akikujibu naomba unitagNa wewe unatumia kias gani kwa mwezi sio siku
kwani hana kitako
Hahahahakikujibu naomba unitag
Mchaga aliyepigwa pasi kuliko wachaga wote niwajuao
Kiuno kigumu kama sururu.