kitanywe 1
Senior Member
- Aug 3, 2020
- 146
- 336
Feleshi sijawahi mkubali inaonekana anabebwa na Mama tu pale lakini SHERIA ni mweupe.Baada ya kuona Waziri anatetemeka na kujiumauma nilibaini hapa kuna aina ya uchafu, na pia Spika pamoja na wabunge wamebaini kuna tatizo.
Nimemsikiliza Mwanasheria mkuu wa serikali, nimeendelea kushangaa ni kwanini Rais anaendelea kumuamini katika nafasi hiyo. Kuhusu Prof. Mbarawa nafikiri kuna watu wengi wanafaa kuwa mawaziri zaidi yake.
Natamani Ingekuwa ni Bunge la kina Tundu Lisu wammpige Maswali ya nguvuuu