maroon7
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 11,341
- 15,829
Yaani nilikupenda mpaka nikajihamisha international school kukufuata shule ya kata bila wazazi kujua.......
Yaani nilikupenda hadi nikatengeneza wheel cover yenye sura yako nikaweka kwny gari la ofisini........
Yaani nilikupenda mpaka nikakwangua rangi gari ya dingi kwa msumari nikaandika ILOVE U IVETA..........
Yaani nilikupenda mpaka wakaenda kuniombea kwa mzee wa upako.........
Yaani nilikupenda mpaka nikiona mtu anajina kama lako natongoza.....
Yaani nilikupenda mpaka......................................
ENDELEENI SASA NANYIE
Yaani nilikupenda hadi nikatengeneza wheel cover yenye sura yako nikaweka kwny gari la ofisini........
Yaani nilikupenda mpaka nikakwangua rangi gari ya dingi kwa msumari nikaandika ILOVE U IVETA..........
Yaani nilikupenda mpaka wakaenda kuniombea kwa mzee wa upako.........
Yaani nilikupenda mpaka nikiona mtu anajina kama lako natongoza.....
Yaani nilikupenda mpaka......................................
ENDELEENI SASA NANYIE