BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,766
- 23,217
mara ya kwanza kutumiwa text msg yenye vifupisho bya kisasa ilinichukua muda kuelewa maana penye 's' panawekwa x, na mpaka leo sijaelewa wanapoweka 'q' huwa wanamaanisha herufi gani, huwa na guess tu