Yaaan ndoa imenishinda asee

Kama kichwa cha habari kinasema wadau

Mimi ndoa imenishinda fikiria huyuu mwanamke tumezaa watoto 2 lakini asaivii kabadilika ety akitoka kuoga mimi ananiambia nitoke nje nitamchungulia hii ni haki kweli
Sio haki hata kidogo.

Nenda kashitaki kwa waziri wa maendeleo ya wanawake kwamba unanyanyaswq kimapenzi. Hilo jambo sio la kuvumilia hata dka moja.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…