ukiona mtu amecomment kitu ambacho hukipendi tafuta njia nzuri ya kumrekebisha....hata ww si wakati wote huwa unacomment sensible things humu....naomba niendelee kukuheshimu brother
sitaki malumbano na mtu usiku....
Hana wazazi?
Kama shida yake ni fedha basi akaombe kazi BOT...
Wanawake huwa mnajidhalilisha sana na huwa nashangaa huwa mnapata wapi guts za kutetea ulemavu wa fikra kama huu...
Ndio maana wanaume hawataacha kuwatumia, maana tushagundua ninyi ni kama jamvi la wageni kila mwenye makalio anaweza jinafasi...
Marry wangu
amehama kwao msasan amepanga tabata
anasema nipeleke nguo zangu kwenye chumba alichopanga
naomba mnisaidie
nkubal ama nikatae
jaman wanaume mbona mnalalamika kuchunwa?wanawake nao wamegundua kwmb mnawatumia tu na kuwatema ndo maana nao wameamua kupoza machungu kwa kuwachuna,lkn hata hvyo c lazm ukiona unachunwa unachapa lapa!! Hata hvyo ww umeingia kwa gia ya kuhonga kwnn usichunwe mara hela ya tax tu lak,vijizawad kbao,vocha buku 20n.k kwnn ustangaziwe shda nyngne na mazagazaga yote machungu ya maisha yapoe maana hela zako hazna kaz!
kwa hili yawezekana hata post yako ni feki.Sent from my siemens c35 using Jamiiforums
ukiona mtu amecomment kitu ambacho hukipendi tafuta njia nzuri ya kumrekebisha....hata ww si wakati wote huwa unacomment sensible things humu....naomba niendelee kukuheshimu ......