Mwanzo Shiza
Member
- May 21, 2018
- 79
- 36
Breaking News: Hayawi hayawi sasa yamekuwa.
SIO SIRI TENA CHADEMA, WAINUA MIKONO JUU UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA, 2019
Kwa lugha rahisi ni kwamba wameweka mpira kwapani lakini Kagere na Molinga wanataka kuupiga.
Kikao cha Kamati Kuu kinachoendelea muda huu katika hoteli ya St. Gasper jijini Dodoma kimembana Mbowe kutoa fedha za chama hicho ambazo hutokana na michango ya Wabunge na wadau mbalimbali ili ziwawezeshe kushiriki vilivyo kwenye uchaguzi huo. Hata hivyo Mbowe amegoma na amesema hana deni kwa Wabunge na Chama hicho.
Kutokana na hali hiyo kikao kimeamua kupitisha agenda ya kutoshiriki uchaguzi huo. Mbowe amejitolea kuwa atawaeleza waandishi wa habari kuwa sababu za kujitoa ni kutokana na changamoto walizokumbana nazo wagombea wao.
Hata hivyo kipenyezeo cha taarifa kilochopo ndani ndani ndani zaidi kimeeleza kuwa sababu ni:
Moja, ukata wa fedha kushiriki uchaguzi huo.
Mbili, wamesimamisha wagombea kwa asilimia ishirini tu (20%) nchi nzima. Ambapo hadi sasa CCM imepita bila kupingwa kwa 80%. Hali hii imewaogopesha sana.
Tatu, kikao kimetoa tathmini ya makosa yaliyofanywa na wagombea wao wakati wa kujaza fomu na kugundua kuwa hata wakienda Mahakamani hawawezi kushinda kwa kuwa makosa yako wazi sana. Hapa walianza kulaumiana kuwa kwa nini ngazi za Wilaya na Mikoa hazikuwasimamia wagombea hao.
Nne, kukosekana kwa mashina ya CHADEMA nchi nzima. Wamejikuta hawana Makatibu wa Mashina kwa mikoa mingi kama ilivyo kwa CCM.
Mbowe Mbowe Mbowe, hilo lako baba wala usisingizia rafu kwani umezicheza mwenyewe.
Kwenu sasa vyama vingine, fursa hiyooooo.
SIO SIRI TENA CHADEMA, WAINUA MIKONO JUU UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA, 2019
Kwa lugha rahisi ni kwamba wameweka mpira kwapani lakini Kagere na Molinga wanataka kuupiga.
Kikao cha Kamati Kuu kinachoendelea muda huu katika hoteli ya St. Gasper jijini Dodoma kimembana Mbowe kutoa fedha za chama hicho ambazo hutokana na michango ya Wabunge na wadau mbalimbali ili ziwawezeshe kushiriki vilivyo kwenye uchaguzi huo. Hata hivyo Mbowe amegoma na amesema hana deni kwa Wabunge na Chama hicho.
Kutokana na hali hiyo kikao kimeamua kupitisha agenda ya kutoshiriki uchaguzi huo. Mbowe amejitolea kuwa atawaeleza waandishi wa habari kuwa sababu za kujitoa ni kutokana na changamoto walizokumbana nazo wagombea wao.
Hata hivyo kipenyezeo cha taarifa kilochopo ndani ndani ndani zaidi kimeeleza kuwa sababu ni:
Moja, ukata wa fedha kushiriki uchaguzi huo.
Mbili, wamesimamisha wagombea kwa asilimia ishirini tu (20%) nchi nzima. Ambapo hadi sasa CCM imepita bila kupingwa kwa 80%. Hali hii imewaogopesha sana.
Tatu, kikao kimetoa tathmini ya makosa yaliyofanywa na wagombea wao wakati wa kujaza fomu na kugundua kuwa hata wakienda Mahakamani hawawezi kushinda kwa kuwa makosa yako wazi sana. Hapa walianza kulaumiana kuwa kwa nini ngazi za Wilaya na Mikoa hazikuwasimamia wagombea hao.
Nne, kukosekana kwa mashina ya CHADEMA nchi nzima. Wamejikuta hawana Makatibu wa Mashina kwa mikoa mingi kama ilivyo kwa CCM.
Mbowe Mbowe Mbowe, hilo lako baba wala usisingizia rafu kwani umezicheza mwenyewe.
Kwenu sasa vyama vingine, fursa hiyooooo.