stevoh
JF-Expert Member
- Dec 5, 2011
- 2,921
- 1,104
hivi ushagundua kuwa yale yanayofanyika wakati wa kufunga ndoa au sijui ndo kurudi kundini hayana uhalisia wowote!! Kutokana na research isiyo rasmi nimegundua kuwa 90% ya ndoa hizo yaliyofanyika ukumbini kama:
-kulishana mdomo kwa mdomo,
-kuvuana koti,
-kupepeana kutengenezea tai, n.k
Jeeee?? Kwa nini hayafanyiki haya?? Yangekua yanafanyika kuvunjika kwa ndoa haraka kungepungua au kwa ngel wanasema
''possibility of marriage breakdown would be redused''
Naombenii sababuuu!!!!
-kulishana mdomo kwa mdomo,
-kuvuana koti,
-kupepeana kutengenezea tai, n.k
Jeeee?? Kwa nini hayafanyiki haya?? Yangekua yanafanyika kuvunjika kwa ndoa haraka kungepungua au kwa ngel wanasema
''possibility of marriage breakdown would be redused''
Naombenii sababuuu!!!!