Paul Kijoka
JF-Expert Member
- Oct 25, 2010
- 1,399
- 255
Kuwa:
5. .......
6...........
- Ukodishaji ardhi kwa wawekezaji ni chini ya 250/ kwa heka moja? hivi hii ni sheria, kanuni au nini?
- kuwa JK amefanya safari 325 za nje na angalau akiwa amekaa siku 4 kwa wastani sawa na siku 1300 ambazo ni sawa na miaka 3.5 akiwa nje ya nchi tangu aingie madarakani? Je kumetumika kiasi gani hapo?
- wanyama wetu wanasafirishwa kwa ndege tena usiku? Na bila serikali kujua?
- kwenye uvuvi serikali inakusanya au unafanya vibaya kimapato mpka tunazidiwa na Sudan, Zimbabwa, Malawi, Zambia,......?
5. .......
6...........