Ya Dunia ni Mengi sana!

Slim5

JF-Expert Member
Jan 7, 2014
28,108
37,644
d4f0ca4c30a35b9002d5c401400047fd.jpg
 
Unapokula chakula kwa muda wa dk 15 kwa mbwembwe, kuna maelfu ya watu wanakufa kwa kukosa chakula.
Ukitaka kujua shinda ya mwenye njaa, angalia raha ya aliyeshiba.
Mungu tuepushe na anasa za dunia hii.
 
Inasemekana huyo mzungu alimchukua kumlea huyo mtoto, wanasema amekuwa na ana afya nzuri sana!
 
uwezi kuamini uyo mtoto alichukuliwa na huyo mwana mama picha yake ya kipindi hiki, daah! amebadilika amekuwa mweupe uwezi amini
hakuna mtu mbaya duniani matatizo tu haya tuharibu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom