Ya CUBA yanawezekana Tanzania

mchemsho

JF-Expert Member
Jun 8, 2011
3,212
867
Nimeshtuka na kushangazwa mno na ripoti ya BBC asubuhi ikiripoti mlipuko wa kipindupindu nchini cuba ambapo watu 3 wamepoteza maisha., mara ya mwisho kuripotiwa kesi ya kipindupindu ilikuwa mwaka 1959.! Imagine that
 
hakuna huduma ya maji safi na salama tanzania,kipindupindu lazima kitumalize watanzania
 
Kitakuwa kimetokea Haiti na huko Haiti kilitokea India/Nepal kupitia wanajeshi wa nchi hizi wa UN wanaofanya kazi huko.
 
Back
Top Bottom