Xabi Alonso Kocha Mpya wa Real Madrid

Xabi Alonso Kocha Mpya wa Real Madrid

Last Seen

JF-Expert Member
Joined
Jun 7, 2013
Posts
241
Reaction score
591
Klabu ya Real Madrid imemtanganza Xabi Alonso kuwa kocha mkuu wa klabu hiyo aliechukua mikoba ya Carlo Anceloti aliyehudumu klabuni hapo kwa muda mrefu.

Xabi Alonso amesaini Mkataba wa miaka mitatu na ataanza kazi rasmi msimu ujao.

IMG_20250525_140128.jpg
 
Walau msimu wake wa pili anaweza kutengeneza chemistry ya kueleweka ya team!
Lakini kwa msimu ujao hapana kabisa aiseh!!

Madrid Ina wachezaji lakini haina team na presha ya pale IPO juu kuliko Leverkusen!!
 
Huyu anaenda kuukumbatia mzinga wa nyuki. Lamina Yamal na Raphinha sio watu.
 
Alex Grimaldo mbavu ya kushoto kulia mngemchukua Frimponga na Sio huyu Simba wa tatu.
 
Back
Top Bottom