Mr. MTUI
JF-Expert Member
- Feb 18, 2013
- 8,129
- 8,374
Tufupisha stori ni hivi...
Mke ni mama kijacho...
Kwa muda mrefu nimekua nikimuona mke akiwa busy sana na simu na wakati mwingine kukosa raha mara anapomaliza kuongea na mtu nisiyemfahamu kwa simu. Kutokana na uwezo wangu mkubwa wa intelligensia niliojifunza wakati wa vita vya kumng'oa Nduli na Fashisti IDDI AMINI..Nimepekua kwa siri sana simu ya mke wangu na kukuta majibizano ya mda mrefu kati ya X na mke... huku X akidai hyo mimba ni yake. Kwa hasira niliyonayo nimepata desicion ya haraka ambayo mwisho wa siku nahisi haitauwa na mwisho mzuri. Mdau ungekuwa ni ww ungefanyaje?
Mke ni mama kijacho...
Kwa muda mrefu nimekua nikimuona mke akiwa busy sana na simu na wakati mwingine kukosa raha mara anapomaliza kuongea na mtu nisiyemfahamu kwa simu. Kutokana na uwezo wangu mkubwa wa intelligensia niliojifunza wakati wa vita vya kumng'oa Nduli na Fashisti IDDI AMINI..Nimepekua kwa siri sana simu ya mke wangu na kukuta majibizano ya mda mrefu kati ya X na mke... huku X akidai hyo mimba ni yake. Kwa hasira niliyonayo nimepata desicion ya haraka ambayo mwisho wa siku nahisi haitauwa na mwisho mzuri. Mdau ungekuwa ni ww ungefanyaje?