Ras John I
Member
- Oct 3, 2017
- 39
- 22
X: Kwani nyie mnataka nini?
Y: TUNATAKA KATIBA MPYA.
X: Katiba ni nini?
Y: SISI HATUIJUI.
X: Kwani ile ya zamani ina Tatizo gani!?
Y: HATUJUI ILA TUNATAKA KATIBA MPYA?
X: Sasa kwa nini mnataka katiba mpya?
Y: HATUJUI PIA.
Mimi kama mtanzania ni kweli katiba ni jambo la msingi, je mtanzania wa kawaida anaijua katiba? Hebu jaribu kuuliza wazazi wako juu ya hilo na utafakari.
Kupata katiba mpya sio dawa ya kuinua maisha ya mtanzania yawe bora, kwanza lazima tufanye ukombozi wa akili na fikra za kila mtanzania ili kila mmoja aeelewe nini maana ya katiba, katiba ya zamani na kwanini tunataka katiba mpya.
Upatikanaji wa katiba mpya na kuwa na watanzania wenye ufikiri ule ule , Akili zile zile bado hautomkomboa mtanzania sana sana utaleta shida kwa mtanzania wa kawaida.
Lazma tuamue kwa dhati kumpatia mtanzania elimu ya ukombozi wa kweli bila kutumia vyama vya siasa, wala umaarufu wetu kumdanganya na kumteka mtanzania ambaye yeye muda wote anasubiri kutafutiwa yeye ameze.
BILA HIVYO BADO WALE WACHACHE WASIOFANYA KAZI WATAZIDI KUNEEMEKA HUKU TULIO WENGI NA WACHAKARIKAJI TUKIFA NA KUFUNJWA VIUNGO BILA KUJUA KWANINI TUMEAMUA KUPIGANA VITA TUSIYOIJUA SABABU YAKE.
Y: TUNATAKA KATIBA MPYA.
X: Katiba ni nini?
Y: SISI HATUIJUI.
X: Kwani ile ya zamani ina Tatizo gani!?
Y: HATUJUI ILA TUNATAKA KATIBA MPYA?
X: Sasa kwa nini mnataka katiba mpya?
Y: HATUJUI PIA.
Mimi kama mtanzania ni kweli katiba ni jambo la msingi, je mtanzania wa kawaida anaijua katiba? Hebu jaribu kuuliza wazazi wako juu ya hilo na utafakari.
Kupata katiba mpya sio dawa ya kuinua maisha ya mtanzania yawe bora, kwanza lazima tufanye ukombozi wa akili na fikra za kila mtanzania ili kila mmoja aeelewe nini maana ya katiba, katiba ya zamani na kwanini tunataka katiba mpya.
Upatikanaji wa katiba mpya na kuwa na watanzania wenye ufikiri ule ule , Akili zile zile bado hautomkomboa mtanzania sana sana utaleta shida kwa mtanzania wa kawaida.
Lazma tuamue kwa dhati kumpatia mtanzania elimu ya ukombozi wa kweli bila kutumia vyama vya siasa, wala umaarufu wetu kumdanganya na kumteka mtanzania ambaye yeye muda wote anasubiri kutafutiwa yeye ameze.
BILA HIVYO BADO WALE WACHACHE WASIOFANYA KAZI WATAZIDI KUNEEMEKA HUKU TULIO WENGI NA WACHAKARIKAJI TUKIFA NA KUFUNJWA VIUNGO BILA KUJUA KWANINI TUMEAMUA KUPIGANA VITA TUSIYOIJUA SABABU YAKE.