X anataka tufunge ndoa

Yupo kwenye 35,hajabadilika kweli!?.. maana juzi nimeona maimartha Jesse kumbe kaolewa,kama mai kaolewa kweli huyu hawezi change!?.. nasikia wanakuwaga wamenyooka,full heshima na mahaba
Hivi unawajua vizuri madada (aka mashangazi) wa mjini wewe?

Ex wake siyo wewe pekee broo. Siyo ajabu mpo 70+ na kila mmoja anapasha kiporo kwa wakati wake. Utapigiwa hadi kero!

Kwamba Mai kampata jamaa fulani itakuwa ni kweli, ila muda si mrefu huyo mwamba atajikuta kikaangoni
 
Ilibaki hivi tu 🀌 nizame pm kwako nikidhani ni mrimbwende according na avatar uliyoweka.!!!
Dah,
Mi nimeshangaa pia mkuu.
Mie kilichookoa jahazi ni pale nilipoona kwenye mijadala ya SIASA jamaa ni mtetezi lialia wa mafisadi akanichefua. Bila hivyo ningezama kitambo
 
Dah,
Mi nimeshangaa pia mkuu.
Mie kilichookoa jahazi ni pale nilipoona kwenye mijadala ya SIASA jamaa ni mtetezi lialia wa mafisadi akanichefua. Bila hivyo ningezama kitambo
Sitetei fisadi,nipo kwa maslahi mapana ya nchi,ukikua utanielewa
 
Yupo kwenye 35,hajabadilika kweli!?.. maana juzi nimeona maimartha Jesse kumbe kaolewa,kama mai kaolewa kweli huyu hawezi change!?.. nasikia wanakuwaga wamenyooka,full heshima na mahaba
😁😁😁 ahaaa hapa hamna mtu atafuata ushauri wetu, huyu ataoa.
 
Ukimchunguza Bata haumli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…