Hiyo ni kali. yaani wengine wanayo macho lakini hawaoni, wengine source ni
www.Mwananchi, Jf, naija na kadhalika? Atakuja mwenye source Uswazi, Migulumbaja na hadi tukome ubishi. Haya, wote ni dugu moja. Cha msingi ni kwamba mtafaruku umetokea. Naambiwa kuna mchungaji aliyepigiwa simu inaimba nataka paja, wakati yeye ndio anasali mbele ya waumini. Wakabaki kumshangaa, naye akachanganyikiwa asijue maneno ya kutamka akalazimika kukatisha maombi.