Wrong no ananichanganya


Wazo lako kwangu lipo approved 100%
Jamaa anataka kuona wazo lake lina comment nyingi na sio vingine 😀
 
Ao wapo kaka ni wale mademu mageek a.k.a wasongo,maantisocial,sura mbaya kupita na madesperate......usiangaike kutaka kukutana nae
 
Ao wapo kaka ni wale mademu mageek a.k.a wasongo,maantisocial,sura mbaya kupita na madesperate......usiangaike kutaka kukutana nae
ahahahah..yeye ana jisifu ni mzuri mbaya nikamwambia tuma picha anazingua.huu mkosi wa kufungulia mwaka.
 
Mimi na sauti kama ya Radi imepita juu yako (Angry thundering storm passes over )

Narudi kwenye thread; People don't just fall in love with looks, there are other factors contributing to love...unaweza kupendwa/kupenda sababu ya sauti tu, au namna unavyo ongea....hasa wanawake mara nyingi sana, wanapenda sauti kama za radi, anajua sauiti ya radi ikiwa karibu na masikio yake, mvua itateremka ile ya kulete mafuriko ya maji :biggrin1:
 
ahahahah..!wewe fazaa wewe kama ni binti nina wasi wasi na wewe..!
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…