Mentor
JF-Expert Member
- Oct 14, 2008
- 20,328
- 23,879
Naingia home nimepaki gari,
tai nimeilegeza kuliko cku zote,
natoka kajasho kiaina..then naingia ndani
Kabla hata hajaanza kunipa pole na kunipokea...
Mimi: Duh, dunia hii inamambo jamani, tumshukuru muumba tu kwamba nimerudi salama mke wangu
yf: kwani nini tena mume wangu?
Mimi: acha tu mamii, yani watu wamefikia kiwango cha kulazimisha ili mradi tu wapate wanachotaka!!!
Yf: ckuelewi baba nanii unajua?? unamaanisha nini hapo?
mimi: wacha nikwambie mke wangu...namketisha kitako na hadithi inaanza..
Basi leo niktoka kazini, si yule Lucy, yule anayefanya pale HR third floor..si unamkumbuka?
yf: ndiyo namkumbuka. kwwani vipi?
Mimi: basi nikitoka si akaniomba nimsogezesogeze mpaka posta akapande magari ya kwao sijui temeke mikoroshini.
Basi nikaona isiwe shida, nikamwambia panda twende..
yf: enhee
Mimi: Basi tukiwa katikati katikati uko si mara akanishika shati yuataka kunibusu kwa nguvu...yani sikuamini, kule kunichekea kote siku zote ndo alichokuwa akitaka..nikapiga break ghafla palepale nkamshusha...
Yani I was so shocked kwamba bado kuna watu wenye mawazo finyu kiivyo. Yani yeye kutuvalia vimini kila siku ndo anaona tutamtamani.
duh, basi nkapitia zangu break point pale kupunguza stress bana ndo nikaja hivi.
yani we acha tu...
...Hapo je....
tai nimeilegeza kuliko cku zote,
natoka kajasho kiaina..then naingia ndani
Kabla hata hajaanza kunipa pole na kunipokea...
Mimi: Duh, dunia hii inamambo jamani, tumshukuru muumba tu kwamba nimerudi salama mke wangu
yf: kwani nini tena mume wangu?
Mimi: acha tu mamii, yani watu wamefikia kiwango cha kulazimisha ili mradi tu wapate wanachotaka!!!
Yf: ckuelewi baba nanii unajua?? unamaanisha nini hapo?
mimi: wacha nikwambie mke wangu...namketisha kitako na hadithi inaanza..
Basi leo niktoka kazini, si yule Lucy, yule anayefanya pale HR third floor..si unamkumbuka?
yf: ndiyo namkumbuka. kwwani vipi?
Mimi: basi nikitoka si akaniomba nimsogezesogeze mpaka posta akapande magari ya kwao sijui temeke mikoroshini.
Basi nikaona isiwe shida, nikamwambia panda twende..
yf: enhee
Mimi: Basi tukiwa katikati katikati uko si mara akanishika shati yuataka kunibusu kwa nguvu...yani sikuamini, kule kunichekea kote siku zote ndo alichokuwa akitaka..nikapiga break ghafla palepale nkamshusha...
Yani I was so shocked kwamba bado kuna watu wenye mawazo finyu kiivyo. Yani yeye kutuvalia vimini kila siku ndo anaona tutamtamani.
duh, basi nkapitia zangu break point pale kupunguza stress bana ndo nikaja hivi.
yani we acha tu...
...Hapo je....