Yeah....! Na kwa kufanya hivyo utamuwezesha yeye ajue namna ya kukuhandle....! Lakini pia kama utapata msamaha itakuwa ni ya kweli, kuliko ungenyamazia hadi anagundua mwenyewe....! Binafsi ni rahisi sana kumsamehe anayejisalimisha kuliko ninayemfukuza hadi namkata kwa juhudi zangu....! Vilevile kwa kusema, utamfanya naye ajisute na aliyowahi kutenda juu yako kama kukucheat.....! Hata hivyo kisaikologia, kusema siri zote ni kama kudelete file/folder la "siri" ubongoni mwako....! So, you will not have any place to save other secrets in the future, and thus you will find yourself being very careful....! Lakini unapotunza siri humaanisha lile folder litaendelea kuwepo, na hivyo unakuwa rahisi kutenda nyingine kwa kuwa una folder la kuhifadhia...! Please, if you can expose everything to your partner, go and do it....! Hata asipokusamehe, wewe mwenyewe utakuwa umekwisha samehewa na Mungu wako (provided ulimwambia ukimaanisha kuomba msamaha haswa, na sio kwa kumpima au kumkejeli), naye atakuja tu kujutia kutokukusamehe baadaye....! What I am saying is already proved....!
nahisi wewe ni mwanaume ndio maana ikawa rahisi kwako kusamehewa, Mwanamke nirahisi kumsamehe mwanaume ila kwa midume?mmmmm utajuta kwa nini ulisema.