Wasitutishe tena😂😂😂😂
Haya majira unayotumia ni ya gamboshi?Sasa hivi ni saa 7: 26 usiku wa January 2020
Jr
Ata wao wanaogopa kufa mzee*Hivi hawa wakina Mwamposa wapo kweli? Mbona wakati huu tunahitaji sana miujiza yao kakini wamekuwa kimya wanasubiri wamama wenye matatizo ya ndoa, wasiopata watoto, wenye waume walevi, wasomi wanaotafuta ajira nk. Yale mafuta yao hayasaidii kuepuka Corona?*
Jr
Hujapata Taarifa wanasema kwamba Ile sehemu wengi tunaenda kupunguza stress, tukizuiwa kwenda tutakufa kuliko inavyoua Covid-19.
Viroba vilipigwa marufuku. Bumunda
Sent using Jamii Forums mobile app