man ov action
Member
- Nov 13, 2015
- 58
- 7
wapendwa mimi ni miongon mwa wanafunzi wa mwaka wa kwanza ambao nimepatwa na majanga ya kukosa mkopo katika lots zote, bt niliamua kwenda hadi hesib kujua tatizo ni nini, jambo la kushangaza niliambiwa fomu yangu haikufika, hvyo taarifa zangu hazipo!! lakini wakanambia niamdike barua niambatanishe na nakala ya fomu niliyotuma mwanzo pamoja na risiti ya EMS, nilifanya hayo yote lakini mpaka saizi cjapata chochote wakuu na sijui kama kuna majina mengine yatatolewa, hali ni ngumu sana na wazazi ndo hivo tena hawana uwezo wa kunisomesha!!! nimekata tamaa ya maisha!!!!! cjui la kufanya