Mchekie na mwenzako.
Mimi enzi hizo nilipata batch ya 6
Yaani draft ya sita tena100%
Chamsingi tu ni nidhamu ya boom ajira bado sana mpaka watumishi tuongezwe mishahara siyo kesho wala kesho kutwa yakeView attachment Mkopo2019-2020-batch1 (1).pdf
Mimi nimekosa first batch na nimesoma private wazazi wangu ni wakulima, nimesoma private sababu ya kukosa nafasi shule za serikali, nilichaguliwa udoM Md na niliapply chuo round ya kwanza bado sijajua hatima yangu hadi sasa kama nitaweza kusoma
Mimi nimekosa first batch na nimesoma private wazazi wangu ni wakulima,nimesoma private sababu ya kukosa nafasi shule za serikali ,nilichaguliwa udoM Md na niliapply chuo round ya kwanza bado sijajua hatima yangu hadi sasa kama nitaweza kusoma
dah pole sana ndugu yangu, hata mimi nimesoma shule za kata kuanzia form one hadi six na nilidahiliwa chuoni round ya kwanza, na kwa waliokosea maombi ya mkopo simo, lakini first batch nimekosa. tuwe na subira tu ndugu...
Mimi nimekosa first batch na nimesoma private wazazi wangu ni wakulima,nimesoma private sababu ya kukosa nafasi shule za serikali ,nilichaguliwa udoM Md na niliapply chuo round ya kwanza bado sijajua hatima yangu hadi sasa kama nitaweza kusoma
yan mkuu Mimi pia nmepata M.D. udom ila nimetokea diploma Yaan nimeunganisha sasa shule zote za sekondari nimesoma za serikali na chuo pia nilisoma cha serikali na wazazi wote niliandika wakulima sasa pia nimekosa yan mpaka nimekata tamaa
dah pole sana ndugu yangu, hata mimi nimesoma shule za kata kuanzia form one hadi six na nilidahiliwa chuoni round ya kwanza, na kwa waliokosea maombi ya mkopo simo, lakini first batch nimekosa. tuwe na subira tu ndugu...
yan mkuu Mimi pia nmepata M.D. udom ila nimetokea diploma Yaan nimeunganisha sasa shule zote za sekondari nimesoma za serikali na chuo pia nilisoma cha serikali na wazazi wote niliandika wakulima sasa pia nimekosa yan mpaka nimekata tamaa