"Kila nafsi itaonja umauti na nyote mtalipwa malipo ya amali(matendo) yenu siku ya kiama basi yule atakayeepukana na moto na kuingia peponi hakika huyo amefaulu na hayakuwa maisha haya ya dunia isipokuwa ni maisha ya udanganyifu tu" Qur-an.
Let us worship our Almighty Lord, Muda ndio huu jamani.