Wana JF hii si ripoti nzuri sana. INAHUZUNISHA, INAKASIRISHA na INASIKITISHA.
Katika ripoti yake iliyotolewa na WORLD POVERTY CLOCK iliyoko Vienna Austria MWEZI HUU ikishirikiana na mpango wa UN's Sustainable Development Goals (SDGs) iliyolenga nchi mbali mbali na HASA za Afrika na Afrika Mashariki,
Tanzania inasemekana Tanzania ina Maskini millioni21.1 ambayo ni ASILIMIA 37.1% ya population nzima ya Watanzania ambao ni maskini SANA.
Hili ni lazima WANASIASA wa PANDE zote waliangalie hili kwa MAKINI bila kujali vyama vyao. Na WALIJADIRI bila kuegemea upande wa kisiasa. Ni HUZUNI sana kusikia jambo kama hili.
Pamoja na ripoti hiyo ya kusikitisha,
Hata hivyo kuna HABARI NJEMA kuwa katika mtazamo wa World Poverty Clock,
Tanzania sasa:
IMEAANZA KUUONDOA UMASKINI katika kipimo/RATE SPEED ya idadi ya WATU 66 kwa kila SAA moja TOFAUTI na ZAMANI ilivyokuwa.
Yaani ina maana kwa kila saa moja Watanzania 66 WANAOKOLEWA toka UMASKINI huo.
Hi ni kusema Watu 66 kwa sasa ni idadi kubwa japo juhudi ziongezwe ili hatimaye tutoke huko.
Katika nchi za Afrika Mashariki Tanzania iko zaidi ya JUU zaidi ya jirani zetu wa Kaskazini ambao yao ni watu 30 kwa saa.
Report hiyo inasema GDP za nchi mbali mbali kwa muda mrefu zimeonekana kwenye makaratasi tu lakini HAZIWAFIKII wananchi mashinani.
Nchi zilizoonekana kuwa na UMASKINI MDOGO sana AFRIKA ni:
1.MAURITIUS ni 0.2% PEKEE ya watu maskini katika population yake. Ikifuatiwa na
2.MISRI: 0.4% na
3.MOROCCO ni 0.4%
USHAURI wangu kwa wanasiasa ACROSS the POLITICAL DIVIDE/ Bila KUJALI CHAMA.
Waweke PEMBENI mambo ya MASIASA SIASA yasiyo na misingi ili TUWATOE to ka umaskini HAWA Watanzania million 21.1 ambao ni asilimia 37.1% ya IDADI ya Watanzania wote WANAOTESEKA kwa UMASKINI wa kutupwa.
Badala yake Wanasisa WAJADILI MAENDELEO na ni namna gani UCHUMI wetu utakuwa BORA na kuwezesha UTAJIRI wake UTIRIRIKE mpaka VIJIJINI
Nafikiri mwanasiasa kama huyo HATASAHAULIKA milele na Mungu na Watanzania wote WALIOTESEKA na umaskini kama huu kwa MIAKA zaidi ya 50 tangu tupate UHURU wetu.
Mungu ibariki Tanzania
CHANZO: Link ni kutoka Vienna Austria
www.world poverty clock
Katika ripoti yake iliyotolewa na WORLD POVERTY CLOCK iliyoko Vienna Austria MWEZI HUU ikishirikiana na mpango wa UN's Sustainable Development Goals (SDGs) iliyolenga nchi mbali mbali na HASA za Afrika na Afrika Mashariki,
Tanzania inasemekana Tanzania ina Maskini millioni21.1 ambayo ni ASILIMIA 37.1% ya population nzima ya Watanzania ambao ni maskini SANA.
Hili ni lazima WANASIASA wa PANDE zote waliangalie hili kwa MAKINI bila kujali vyama vyao. Na WALIJADIRI bila kuegemea upande wa kisiasa. Ni HUZUNI sana kusikia jambo kama hili.
Pamoja na ripoti hiyo ya kusikitisha,
Hata hivyo kuna HABARI NJEMA kuwa katika mtazamo wa World Poverty Clock,
Tanzania sasa:
IMEAANZA KUUONDOA UMASKINI katika kipimo/RATE SPEED ya idadi ya WATU 66 kwa kila SAA moja TOFAUTI na ZAMANI ilivyokuwa.
Yaani ina maana kwa kila saa moja Watanzania 66 WANAOKOLEWA toka UMASKINI huo.
Hi ni kusema Watu 66 kwa sasa ni idadi kubwa japo juhudi ziongezwe ili hatimaye tutoke huko.
Katika nchi za Afrika Mashariki Tanzania iko zaidi ya JUU zaidi ya jirani zetu wa Kaskazini ambao yao ni watu 30 kwa saa.
Report hiyo inasema GDP za nchi mbali mbali kwa muda mrefu zimeonekana kwenye makaratasi tu lakini HAZIWAFIKII wananchi mashinani.
Nchi zilizoonekana kuwa na UMASKINI MDOGO sana AFRIKA ni:
1.MAURITIUS ni 0.2% PEKEE ya watu maskini katika population yake. Ikifuatiwa na
2.MISRI: 0.4% na
3.MOROCCO ni 0.4%
USHAURI wangu kwa wanasiasa ACROSS the POLITICAL DIVIDE/ Bila KUJALI CHAMA.
Waweke PEMBENI mambo ya MASIASA SIASA yasiyo na misingi ili TUWATOE to ka umaskini HAWA Watanzania million 21.1 ambao ni asilimia 37.1% ya IDADI ya Watanzania wote WANAOTESEKA kwa UMASKINI wa kutupwa.
Badala yake Wanasisa WAJADILI MAENDELEO na ni namna gani UCHUMI wetu utakuwa BORA na kuwezesha UTAJIRI wake UTIRIRIKE mpaka VIJIJINI
Nafikiri mwanasiasa kama huyo HATASAHAULIKA milele na Mungu na Watanzania wote WALIOTESEKA na umaskini kama huu kwa MIAKA zaidi ya 50 tangu tupate UHURU wetu.
Mungu ibariki Tanzania
CHANZO: Link ni kutoka Vienna Austria
www.world poverty clock