Brazil Bingwa,good night,naogopa kuangalia mwishoni
Brazil Bingwa,good night,naogopa kuangalia mwishoni
Huyu Ruben anajirusha kama anataka kufa.!
Mhu hu huu,golini Nery Pumpido, Sergio Goycoechea,mhu hu huu,Sergio Batista mhu hu huu,Abel Balbo mhu hu huu,jamani haya majina mengine kwa heshima na taadhima munatakiwa muyataje full,yaani "Jorge Luis Burruchaga","Diego Armando Maradona Mkono","Claudio Paulo Caniggia Upepo,teh teh,wacha kabisa these beasts!
Naomba ulegeze hicho kibuyu chako tumechoka bana!! Mambo gani ya zaid ya 90????
Holland hawajawahi kushinda match ambayo inaenda hadi Extra Time.
Wakishinda leo ndio inakuwa mara ya kwanza katika WC
Kila kitu kina mwanzo wake....Holland hawajawahi kushinda match ambayo inaenda hadi Extra Time.
Wakishinda leo ndio inakuwa mara ya kwanza katika WC
wewe mr emolo hajalala????