Nemesis
JF-Expert Member
- Feb 13, 2008
- 5,536
- 4,532
north korea ikikutana na south korea!mh
north korea na USA!!hahahahaa
Hii itakuwa kali mno maana inaweza kuanzisha vita vya ukweli kweli. Hasa hawa Wakorea wakomunist DPRK.
north korea ikikutana na south korea!mh
north korea na USA!!hahahahaa
huu mpira si umepimwa na vipimo vyote na kupewa go ahead!?!!ss shida nini?lile goli wewe
hahahaaaa golikipa wa taifa starzz
kazi kwelikweli
Jamaa waliokuwa wakitazama ITV hawakuona goli live...ha ha ha..
Yaani mpaka sasa sijaona skills zinazoitwa
1. Lelastica
2. El regart
3. La bicicreta
4. De spero
5. Estil Laudrup
6. Lespardinha
7. El Barret
8. El triple Barret
9. La vaselina
Nk nk nk nk nk nk....
ndio muamini sasa
No Gaucho
No Football.
haka kamechi suddenly kamebeba umuhimu wa hali ya juu ktk hii group....imagine algeria au slovenia ashinde leo.....and to be honest i want one of the to win,prefer algeria though.......