Shukran Dark City kwa kuanzisha hii thread.
Wimbo wa taifa wa Mexico unapigwa kisha Wa-Sauzi..patakua hapatoshiii!!!
Mimi Bafana Bafana kama kawa!
Vidosho vya Mexico vinapendeza kwelikweli
Vuvuzela itatupasua masikio!
Mi niko kwenye abood,naelekea moro,endeleeni ku2pa up2dates wakuu
Vuvuzela zimelipuka tena wimbo umeisha sasa tusubiri mtanange wenyewe
Obuntu kwa jioni ya leo yupo upande wa Mexico
Mkuuu wewe unatisha. Yaani kwa muda mfupi tu umeshafanya quick scan!! Unatisha ..
Mkuuu wewe unatisha. Yaani kwa muda mfupi tu umeshafanya quick scan!! Unatisha ..
Nimefurahi jinsi SA walivyojaa kushangilia match.
Blatter keshatoa hotuba yake fupi na sasa Zuma anaongea kufunugu mashindano ya 2010.
Je SA watamudu kuwepo kwenye match nyingine kwa wingi namna hii?
Obuntu kwa jioni ya leo yupo upande wa Mexico