World Cup 2010 SA: Match updates (From June 11)

World Cup 2010 SA: Match updates (From June 11)

Standing ipo hvi kwa sasa
Slovenia 2 1 1 0 3 2 1 4
United Sta 2 0 2 0 3 3 0 2
England 2 0 2 0 1 1 0 2
Algeria 2 0 1 1 0 1 -1 1
 
wanazomewa na mashabiki wao ha ha ha.Capello unawalea watu kama wakina Lampard ndio wana kuchanganyia habari.
 
waandishi wa habari wao waliokuwa wanasema kundi lao easy wako wapi? manake walisahau kwamba na wao wenyewe easy pia lol.
 
kwanini England iliwekwa katika best 7 wakati wa kugawa makundi? jamaa mpira bado sana, USA wazuri kuliko hawa.
 
saafi sana.jumatano waslovenia kama wanasukuma mlevi...
 
_48116712_rooney_pa2.jpg

ameanza kutoa machozi wakati game bado kuisha
Three minutes Added Time

yaani rooney alikua kama ball-boy aise...

zile BOOOOOO NI SOOO
 
Birthday ya Kapelo imeingia Nyongo mana leo anatimiza Miaka 64.Mipango ya England ilikuwa wanataka wawe top of the group ilikuwa kuwakimbia Germany sasa naona wanaweza kuja Bottom of the Group wasipoangalia
 
Standing ipo hvi kwa sasa
Slovenia 2 1 1 0 3 2 1 4
United Sta 2 0 2 0 3 3 0 2
England 2 0 2 0 1 1 0 2
Algeria 2 0 1 1 0 1 -1 1

England by any means have a chance, for them a Game with Slovania will be like a Knock out stage already. I predict this group England and Slovania will proceed by USA draws with Algeria and England beats Slovania bya a goal.
 
Lampard, Gerrard hawafai kuwa kwenye hii timu, they are horrible, wanacheza with self interest than team work. ikiwa Crouch, Heskey, Rooney na hata Dafoe wanarudi nyuma kutafuta mipira, Cappelo haoni kuna tatizo? I can not wait to read magazeti ya Uingereza yatakavyoichambua hiyo timu na especially Cappelo!

Good job Algeria!
Joe COLE ni play maker mzuri sana lakini jamaa hataki kumtumia hata kumleta dakika 15 tu.
 
Lampard, Gerrard hawafai kuwa kwenye hii timu, they are horrible, wanacheza with self interest than team work. ikiwa Crouch, Heskey, Rooney na hata Dafoe wanarudi nyuma kutafuta mipira, Cappelo haoni kuna tatizo? I can not wait to read magazeti ya Uingereza yatakavyoichambua hiyo timu na especially Cappelo!

Good job Algeria!

MKUU NI KWELI KABISA.... lakini nadhani ingekua poa kama lampard angeanza bench, na rooney leo deserved to be substituted--- they were shyte
 
yule MBAYUWAYU aliekuwa kwenye nyavu za algeria sijui kaishiaje? huwezi kuamini hili kundi anaongoza SLOVENIA heheheeh kweli mpira unadunda aisee.
 
kwanini England iliwekwa katika best 7 wakati wa kugawa makundi? jamaa mpira bado sana, USA wazuri kuliko hawa.

hawa jamaa kelele zao kwenye media zinaipressure mpaka FIFA kufanya maamuzi ya ajabu ajabu. wanaboa sana aisee
 
saafi sana.jumatano waslovenia kama wanasukuma mlevi...

yani England siyo eeh?!..BTW,hizi timu zinanichanganya yani Slovakia na Slovenia pia kwa mbali Serbia..
Kweli England tuwaalike mechi ya kirafiki kama TFF watafika dau!..mana wepesi hata wakitufunga haitauma sana kama Brazil..
 
Sasa wakimfukuza Capello wampe Redknapp nae ajaribu bahati yake lool.

manake uingereza imekua kichwa cha kujifunzia kunyoa siku hizi.
 
kesho magazeti ya kiingereza naona hata wachezaji watayakimbia maana yake wanavyojua kupamba na KUPONDA.....
 
_48115775_englandfans_pa.jpg

Waingereza wanacheza mpira kwenye media na sio uwanjani ...Hilo kombe watalisikia kwenye Bomba tu waangalie mashabiki nazi hawa..may 3000 huko wanaweza kulibeba!!

_48116327_harrywilliam_pa.jpg

Mbwebwe nyingiiiii England's fans are joined by two famous faces as Princes Harry and William take their seats in Cape Town Stadium. William predicts a 3-0 win for England, while Harry says he will take a 1-0( hahahahaha almanusura mchezee kichapo shukuruni hiyo draw):hail::hail:
 
yule MBAYUWAYU aliekuwa kwenye nyavu za algeria sijui kaishiaje? huwezi kuamini hili kundi anaongoza SLOVENIA heheheeh kweli mpira unadunda aisee.

Yule alikuwa terere, siyo mbayuwayu! akili za kuambiwa......................,, algeria wamechanganya na za sheikh Yahaya.
 
England by any means have a chance, for them a Game with Slovania will be like a Knock out stage already. I predict this group England and Slovania will proceed by USA draws with Algeria and England beats Slovania bya a goal.

Mechi ya ALgeria na Marekani itakuwa kama JIHAD naona kama waarabu hawatakubali kushindwa ingawa hawakuwa na mipango yakutafuta ushindi leo vinginevyo walikuwa wawachape hawa mabingwa wakuchonga..Naona kama Slovenia anaweza kumshinda au draw na England so mshindi kwa mechi ya AlG/USA ndo ataungana na slovenia kwa second round
 
Back
Top Bottom