Bosco Laifa
Member
- Apr 25, 2018
- 18
- 14
- Thread starter
- #21
Ulitaka Post zijae kama mia kila mwezi, au wewe huna kazi za kufanya unashinda kwenye blogs tu unadhani watu wote wako kama wewe. Acha ushamba ndugu yangu.Upumbavu mtupu...
Ka-website ni ka-blog kakipumbavu kabisa.....
January hakuna post hata moja,
February post hata moja
March post 14 zoote kusifia TZ na Magufuli
April 11posts the same way
May 8posts nazo ni upumbavu huo huo..
June nayo ni viposti tuwili tu navyo ni hovyo kabisa...
July HAKUNA POST YOYOTE,nadhani walipoteza network..
August kaibuka na viposti vi 5 navyo mule mule
September HAKUNA POST YOYOTE..nadhani walivimbiwa
October vipost vitatu tu..navyo ni mavi matupu ya serikali sikivu..
November ndio wamekuja na vipost tuwili so far...mavi matupu..
Hii dunia ya CCM bwana...pumbafu watupu.