Woolwich Terror attack: two suspects shot after man killed near barracks

Woolwich Terror attack: two suspects shot after man killed near barracks

Yule Mama hakua anajua kinachoendelea ndio maana kapita akiendelea na hamsini zake!

Lakini ni hatari sana....kwa mbali bado akawa anapiga story na watu wengine, huh!
 
Imeeondoka lini? Wanaoipigia makelele iondoshwe ni nani? unafikiri ni kwanini?

Haijaondolewa. Wanaoipigia kelele ni wanaharakati wa haki za binadamu. sababu: wanataka hukumu yoyote ipelekee mtu kujutia kosa lake na kujifunza - wakidai akiuawa anajifunza nini? .. Upo?
 
This is insane!! polisi walifika baada ya 30 minutes??? why? inaelekea hilo eneo ni maarufu kwa uhalifu, yaani mtu kashika visu na madamu yanamchurizika halafu watu wanapita pita tu, as if nothing big happening, walau ingekuwa bongo wangesema walidhani ni mfanya kazi wa bucha iliyo karibu na pale....kwenye habari wanaiita "most appalling crime" lakini hawaku act like it in the first place.
 
Haijaondolewa. Wanaoipigia kelele ni wanaharakati wa haki za binadamu. sababu: wanataka hukumu yoyote ipelekee mtu kujutia kosa lake na kujifunza - wakidai akiuawa anajifunza nini? .. Upo?

Haki za binadamu ni baina ya wote aliyedhulumiwa(aliyeuliwa) na dhalimu (muuaji) na hakimu ni Mwenyezi Mungu aliyeumba roho.

Kuuwa kwa mkausudi kunajulikana na kuuwa kwa ajali au bila ya kukusudia kunajulikana

Nafasi ya Mafunzo/mafundisho kuhusiana na makosa yoyote yale, yawe ya jinai au madai ni kukinga makosa hayo kutokea. Na hili ni jukumu la wazazi, jamii na mazingira (ikiwemo ulimwengu). Inachotokea baada ya kosa kutendeka ni haki- (balanced, just and lawful retribution of the crime), sio mafundisho ya awali. Na kuuwa pasipo na sababu halali (mfano: retribution for murder,au kuzini au ku-turn against the state) basi haki yake ni adhabu ya kifo.

Hatahivyo, hata katika sheria ambapo adhabu ya kifo imewekwa, mfano katika uislamu, bado nafasi ya kusameheana na kulipana fidia ipo, na hii inakuja kutokana kutambua haki za kibinadamu ambapo familia ya aliyedhulumiwa (aliyeuliwa)ikishirikiana na dola huwa na jukumu kubwa katika jamii katika kutoa hayo mafunzo unayoyasema. Inapobidi, kosa hupimwa, majuto ya kosa hupewa uzito unaostahili na kusameheana hutokea. Vinginevyo ni adhabu ya kifo inayofanywa katika sehemu ya wazi ni:

1. Haki iliyo sawa kwa muuaji yenyewe, kwa familia ya marehemu na jamii husika, hata ulimwengu mzima.

2. Mafundisho tosha kwa jamii na ni deterrent hasa kwa wale potential murderers waliobakia, maana adhabu ile hutikisa mpaka nyoyo zao. Sio binadamu wala shetani asiyetikiswa na adhabu ya kifo, yaani maneno mawili: adhabu + kifo

Hao wanaojiita ma-champion wa haki za binadamu ni wanafiki, mfano ni huu huyu aliyepenyeza hii mada: kaanza kwa kupiga kelele hivi "Adhabu ya kifo lazima iwepo" kwanini?

- Huyu ni mmoja ya hao wanaomini hizo haki za binadamu kwa wengine na kuzikataa kwa wengine.
- Huyu ni yule ambae kalishwa kasumba mpaka kabadilishwa imani kwanza (yaani kafanywa aamini kwamba adhabu ya kifo bora isiwepo kwa sababu mbali mbali za kijinga zinazofichwafichwa ndani ya kwapa za haki za binadamu); na pili kabadilishwa ufahamu wake (consciously amefanywa afahamu kwamba hii adhabu haipo tena). Lakini kasahau huo ufahamu wake kapenyezewa tu ndani ya akili yake ili wauwaji wakubwa wa-get away with it huku akiwatizama tuuu bila ya kufikiria kwamba nao wanastahili adhabu ya kifo vile vile.
- Ghafla tu anakurupuka "... lazima iwepo" wakati imekuwepo muda wote, yeye kaikuta, ipo na ataiacha hapa hapa. Kakurupuka hivi kwasababu ya kasumba inayofanywa na walewale wauwaji wakubwa anaowafumbia macho. Kwasababu leo mnyonge katokea kufanya crime kama ile au pengine ndogo ya ile (kwasababu kwa malingano, hii haifanani na yule mjerumani aliyefanya kama hivi, cha kusikitisha zaidi yeye alimfanyia i. mwanamke (mama wa watoto wawili), ii. aliyekuwa mja mzito kwa mtoto wa tatu, iii. eneo la tukio ndio ajabu zaidi:- ni ndani ya mahakama wakati yule mama anatoa ushahidi wa assault aliyomfanyia kabla ya hapo, iv. sababu yenyewe ni kuwa yule dada kavaa hijabu-yaani ni muislamu). Hii hata kama imepita machoni mwake au masikioni mwake, katika mpito uliochakachuliwa na vyombo vya habari vya hawa wakubwa, basi yeye hawezi hata ku-analyse, kushituka na hakukurupuka namna hii, imepita kama haikutokea, kwasababu ameshakuwa de-sensitized dhidi ya jamii fulani.

Ndio mimi nikamuuliza kuwa imeondoka lini? Ninavyofahamu mimi ni kuwa nchi zote ulimwenguni zinazo adhabu ya kifo, isipokuwa zilizoondosha zinajulikana, hizi zilikuwa nayo hii adhabu, na ndizo ambazo zinahitaji ushauri wa jamiiforums ili kuzirudisha. Kama watazitumia ipasavyo, basi kama huyu jamaa anastahili hiyo adhabu, wengine nao ni lazima wapate vile vile. Na haya mauwaji ya namna hii nani anae-justify? na nani kaanza, yeye au hao wauwaji wakubwa?.
 
so sad, nadhani hili litapelekea kukandamizwa zaidi kwa sheria za uhamiaji uingereza....
 
Siku far-right parties like BNP and National Front watachukua nchi na kuua all immigrants ndiyo akili zitakaa sawa. And if you look at their poll numbers over time, its not that far away.

we akili yako inahitaji MOT, Sasa aliyekwambia immigrants wote wabaya ndo nani, na sijui ardhi gani unatokea ww, HAO Immigrants wamekufa kupigania uhuru wa England ili hao bnp na edl waishi salama na ulimwengu halisi utakuta wabaya na wazuri, kinachotakiwa ni mtu kuhukumiwa kutokana na kosa alilofanya, Na mtu km ww unaeshabika bnp, usidhani ww pia utakuwa salama kama bnp wakichukua nchi
dhambi ya ubaguzi haiachi mtu,
grow up!
 
we akili yako inahitaji MOT, Sasa aliyekwambia immigrants wote wabaya ndo nani

Wapi nimesema immigrants wote ni wabaya?

na sijui ardhi gani unatokea ww

Irrelevant.

HAO Immigrants wamekufa kupigania uhuru wa England ili hao bnp na edl waishi salama

Educate me. Uhuru wa England kutoka kwa nani na hawa wapigania uhuru (ambao ni immigrants) ni kina nani hasa?

na ulimwengu halisi utakuta wabaya na wazuri, kinachotakiwa ni mtu kuhukumiwa kutokana na kosa alilofanya

Agreed. Wabaya na wazuri wapo sehemu zote duniani. Ukweli ni kwamba katika ulimwengu halisi prejudices zipo. Suala ni to what extent.

Kwa mfano huyo mwafrika aliyechinja mtu amesaidia kuongeza au kupunguza chuki dhidi ya watu weusi? Huyu mtu anaua kwa jina la Uislam, hii inaongeza chuki dhidi ya Uislam. If the muslim world can protest over a cartoon, why are they not protesting over this man anayewachafulia dini yao?

Wahamiaji ni minority group na baadhi wamekua tatizo kwa nchi za ulaya -- ripping off millions out of benefits (taxpayers money). Wengi wa wahamiaji hawa wanaofanya huu uhuni wametoka nchi maskini na wanapata huduma ambazo huko kwao ni ndoto kuzipata na bado wanashindwa kuwa wastaarabu. Wenyeji hawafurahishwi na hili. Hivyo wahamiaji wakinyimwa benefits, hata wahamiaji wazuri wanaumizwa kwa upuuzi wa hawa wahamiaji wabaya. Juu ya haya kuna matatizo haya ya Woolwich.

Wanasiasa mfano wa BNP, Le Pen wanachukua matatizo hayo kama karata ya kisiasa ya kupata wafuasi, i.e. lets get rid of immigrants and we'll be ok na hili linaonekana wazi "neo-nazism" is growing in Europe.

Na mtu km ww unaeshabika bnp, usidhani ww pia utakuwa salama kama bnp wakichukua nchi
dhambi ya ubaguzi haiachi mtu

Am for global citizenship and I do not support BNP, but I hate seeing people give them power. Tatizo ni kwamba kuna hatari ya historia ya nazism kujirudia (Ugiriki foreigners are in danger). Historia hii itakapojirudia ndiyo wewe hapo utatambua kwamba tatizo la uhamiaji ni kubwa na linaweza kusababisha mauaji ya kibaguzi na hata kabla BNP EDL hawajaongea wahamiaji wazuri inatakiwa watoke mbele na kupinga upuuzi huu.

Hili si tukio la mwisho (kama huyo muuaji alivyosema), sasa katika macho ya mwenyeji, tofauti ya mhamiaji mzuri na mbaya ni ipi wanapopishana barabarani?


No, you should grow up and draw a clear line to distinguish yourselves from radicals. For how long will you play the card of "haya mauaji yamefanywa na mtu ambaye haujui uislam" wakati yeye anasema kaua kwa sababu ya uislam. If you are not with them draw a line that separates you from them.

Kesho tena mtu ataua in the name of jihad na tutasikia kauli ileile "matendo ya huyo mtu hayawakilishi waislam".

Truth is, there is a growth of extremism in islam and good moderate muslims do not have the courage to face these radicals, till then EDL will have an excuse to act stupid as it always does.
 
Nimemuona mmoja wa hao jamaa kashikilia meat cleaver na kisu halafu anaongea mbele ya camera baada ya kumaliza kumkatakata huyo marehemu nikajisemea amshukuru mungu wake hayupo US maana angekuwa US angelimwa shaba papo hapo na raia ambao wako packing.

Yaani jamaa alikuwa anaongea hana hata wasiwasi kabisa.


Huyu jamaa alikamatwa Kenya nafikiri mwaka juzi or so akiwa njiani kwenda Somalia kujiunga na Al-Shabab.

Baada ya kugundulika kuwa ni Mwingereza akapewa stahiki zake na kurudishwa nchini kwake.

Baada ya kurudi UK, security forces wakataka awe informer wao lakini akawatosa.

Pamoja na hayo yote bado walimwacha akaendelea kuzurura mitaani na leaflets zake.
 
Huyu jamaa alikamatwa Kenya nafikiri mwaka juzi or so akiwa njiani kwenda Somalia kujiunga na Al-Shabab.

Baada ya kugundulika kuwa ni Mwingereza akapewa stahiki zake na kurudishwa nchini kwake.

Baada ya kurudi UK, security forces wakataka awe informer wao lakini akawatosa.

Pamoja na hayo yote bado walimwacha akaendelea kuzurura mitaani na leaflets zake.

Ila watu wanaoishi Uingereza wamenishangaza sana. Yaani baada ya jamaa kuua mchana kweupe wakabaki hapo hapo na wakaanza kulonga na watu waliokuwapo hapo bila hata wasiwasi.

Mfano kuna yule mama alimpita jamaa wakati akiongea kwenye kamera huku kashikilia mibisu yake na mikono imejaa damu halafu yule mama hana hata wasiwasi. WTF?

Halafu hao polisi wenye silaha iweje wachukue muda wote huo (dk 20-30) kufika eneo la tukio wakati tukio lilitokea kwenye moja ya viunga vya London vyenye pilika pilika nyingi? Yaani hao kina Ade waliwasubiri kabisa...halafu hata walipofika hao polisi walikuwa sijui watano au sita tu? Ajabu kwa kweli.

Ingekuwa US kwanza most likely kati ya hao bystanders lazima angekuwepo hero au heroes. Hivyo ningeshangaa sana kama polisi wangewakuta hao wauaji wako hai bado kama wangechukua muda mrefu hivyo kufika eneo ambalo mauaji yametokea.

Ila sidhani kabisa kama ingekuwa US kama ingechukua muda wote huo kwa wao kufika hususan sehemu ambayo ni ya mjini kama hiyo Woolwich. Ndani ya dakika tano tu kungekuwa na police officers na police cruisers kibao (both uniformed na plain clothed, na marked and unmarked), sherrif's deputites, SWAT team(s), na law enforcement agents wengine.
 
INTROVERT:
Nadhani sintokosea kusema kuwa maneno yako na right wings members hayako tofauti sana na sina wakati wa kujibu maswali yooote uliouliza ila km unataka kujua zaidi before making any comments just READ FIRST and get the facts. Regards the immigrants which you seems to know very less about their contribution in England in term of defences and economic. I will give you just one group of those immigrants who makes up 1.5% of England population today

Since the beganing the Sepoy revolution of 1857-58.-all the way to second world war it is recorded that more than 3 million indian where involved in different war under british command and when british declared war with Germany they diploy more than 190,000 indian soldiers to france to fight for them , At that time England was in the verge of loosing the war with Nazis and there are still Indian armys in Britain today as we speak,
Today we see EDL and BMP shows open hate towards indians

In regards to economic contributions

Thing is: Immigrants bring more money to the system than they take out of it.-Trusted sources and official stats confirm it ALL YOU NEED IS SEARCH THE FACT NOT THE MITH.Moreover, any immigrant to the UK from outside the EEA borders has to pay for a visa. Every year 2.5 million UK visas are issued. Cost of visa application is £70 on average. Shall we do the calculation of how much money is poured into the UK economy and government from this? Shall we also include the money immigrants spend on getting a law firm to get their application accepted? The money spent by companies to sponsor a worker?Immigration is a business. A very rich business. Migrants contribute to the UK economy positively by far. Please don't blame the economic crisis caused by a rotten financial system on migrants
.
In regards to your opinion about Muslims.

If you are living the world I am then you will agree. Watu wa kwanza to conderm the Woolwich killing ni muslims and most of the TV channels in England did not show that except BBC AND ITV/CHANNEL 4 na kashfa zilizo kwenye front pages hazi reflect ukweli na maneno yako is no different to these cheap and lies Individuals ambao usiku na mchana wanapigana kupaka matope UISLAM who do not what to look at the fact rather to point finger on all muslims and their faith.

Kama vile IRA in Ireland wanavo uwa watu kwa jina la ukristo. Huoni gazeti au radio au tv ika blames christianity.

When Timoth- Mcveigh blow up at Oclahoma City killing 168 innocent peoples. 9th April 1995 That same day, Terry Nichols (1955-), an associate of McVeigh's, surrendered in Herington,Kansas. Both men were found to be members of a radical right-wing survivalist group based in-Michigan.THIS IS A CHRTIANS GROUP AGAIN NO BODY SAYS ITS CHRISTIANS DID THAT RATHER ITS RADICAL RIGHT-WINGS.

according to your view ,we should see Christians waandamane kuhusu haya mambo, mbona hilo hulisemi??

ISLAM condemns act of violence and thats is in holy Scripture and waislamu hawana haja ya kukulilia ww au mtu yyt ili ujue kuwa hawakupendezewa na tukio hili na matukio mengine yote ambayo yanafanyika kwa jina la uislam.

More over wakati mapasta na mapadri wa makanisa makubwa duniani wamekamatwa na kuhukumiwa kwa kesi za ubakaji na kuwanajisi watoto wa wadogo wa kiume. HAKUNA GAZETI WALA TV WALA RADIO ILIYO ULAUMU UKRISTO, IS that a bahati mbaya au hawafahamu km hao ni representative of a CHURCH?? DOUBLE STANDARD that's what I call,
When a man with Muslim name found stealing in a shop, THE head line will be"MUSLIM MAN CAUGHT STEALING" BUT when john or peter steals, it stays as john and peter!!

Yesterday an Englishman who is a Christian went to a mosque in Kent with huge knife and thank God before he did anything he was caught, ON ALL MEDIA IN UK nothing has been said about his religion or faith which is "CHRISTIAN" Now imagine that man was from Muslim background!! MY God, !! you know how the news would have been, what more can I say hey!!


I am not here to lecture you but kama unajali utu na watu basi usitoe maneno ambayo badala ya kujenga, yanabomoa and for your info bnp and edl the always get famous for a week or two after the incident then baada ya mwezi husikii habari zao tena because of narrow mind they possess.

Two days ago itv(uk) done the survey and 84% of uk citizens says they will never join bnp or edl (fact)
To conclude, EVERY RELIGION HAS THE BLACK SHEEP, and unfortunately people choose what to see,

I hope I did not offend you in anyway.
 
  • Thanks
Reactions: Izz
INTROVERT;:
For ur info a whiteman never ever like a black man. Racism is everywhere in england. Its only the law protect people like me and others here. I have lived here long enough to tell u that.
Matukio km haya ya individual ambae anachuki binafsi. Hata ulie machozi ya damu huwezi kum convince white man kwamba I am a good black man but he is bad. To a whiteman all blacks r the same
Live ur life, after all the whiteman. ametesa babu zangu miaka isio na idadi na bado anachuma nchini kwangu kwa hiyo sioni ubaya wwt wa wageni kuja hapa europe na wao wakazikamua kidogo zile dhahabu zetu walizotuibia zamani japo na mm nipate kujenga kwetu hata kibanda cha matope!
U got a problem with that! Go tell the white master to come and get me!.
 
INTROVERT:
Nadhani sintokosea kusema kuwa maneno yako na right wings members hayako tofauti sana na sina wakati wa kujibu maswali yooote uliouliza ila km unataka kujua zaidi before making any comments just READ FIRST and get the facts. Regards the immigrants which you seems to know very less about their contribution in England in term of defences and economic. I will give you just one group of those immigrants who makes up 1.5% of England population today

Since the beganing the Sepoy revolution of 1857-58.-all the way to second world war it is recorded that more than 3 million indian where involved in different war under british command and when british declared war with Germany they diploy more than 190,000 indian soldiers to france to fight for them , At that time England was in the verge of loosing the war with Nazis and there are still Indian armys in Britain today as we speak,
Today we see EDL and BMP shows open hate towards indians

In regards to economic contributions

Thing is: Immigrants bring more money to the system than they take out of it.-Trusted sources and official stats confirm it ALL YOU NEED IS SEARCH THE FACT NOT THE MITH.Moreover, any immigrant to the UK from outside the EEA borders has to pay for a visa. Every year 2.5 million UK visas are issued. Cost of visa application is £70 on average. Shall we do the calculation of how much money is poured into the UK economy and government from this? Shall we also include the money immigrants spend on getting a law firm to get their application accepted? The money spent by companies to sponsor a worker?Immigration is a business. A very rich business. Migrants contribute to the UK economy positively by far. Please don't blame the economic crisis caused by a rotten financial system on migrants
.
In regards to your opinion about Muslims.

If you are living the world I am then you will agree. Watu wa kwanza to conderm the Woolwich killing ni muslims and most of the TV channels in England did not show that except BBC AND ITV/CHANNEL 4 na kashfa zilizo kwenye front pages hazi reflect ukweli na maneno yako is no different to these cheap and lies Individuals ambao usiku na mchana wanapigana kupaka matope UISLAM who do not what to look at the fact rather to point finger on all muslims and their faith.

Kama vile IRA in Ireland wanavo uwa watu kwa jina la ukristo. Huoni gazeti au radio au tv ika blames christianity.

When Timoth- Mcveigh blow up at Oclahoma City killing 168 innocent peoples. 9th April 1995 That same day, Terry Nichols (1955-), an associate of McVeigh's, surrendered in Herington,Kansas. Both men were found to be members of a radical right-wing survivalist group based in-Michigan.THIS IS A CHRTIANS GROUP AGAIN NO BODY SAYS ITS CHRISTIANS DID THAT RATHER ITS RADICAL RIGHT-WINGS.

according to your view ,we should see Christians waandamane kuhusu haya mambo, mbona hilo hulisemi??

ISLAM condemns act of violence and thats is in holy Scripture and waislamu hawana haja ya kukulilia ww au mtu yyt ili ujue kuwa hawakupendezewa na tukio hili na matukio mengine yote ambayo yanafanyika kwa jina la uislam.

More over wakati mapasta na mapadri wa makanisa makubwa duniani wamekamatwa na kuhukumiwa kwa kesi za ubakaji na kuwanajisi watoto wa wadogo wa kiume. HAKUNA GAZETI WALA TV WALA RADIO ILIYO ULAUMU UKRISTO, IS that a bahati mbaya au hawafahamu km hao ni representative of a CHURCH?? DOUBLE STANDARD that's what I call,
When a man with Muslim name found stealing in a shop, THE head line will be"MUSLIM MAN CAUGHT STEALING" BUT when john or peter steals, it stays as john and peter!!

Yesterday an Englishman who is a Christian went to a mosque in Kent with huge knife and thank God before he did anything he was caught, ON ALL MEDIA IN UK nothing has been said about his religion or faith which is "CHRISTIAN" Now imagine that man was from Muslim background!! MY God, !! you know how the news would have been, what more can I say hey!!


I am not here to lecture you but kama unajali utu na watu basi usitoe maneno ambayo badala ya kujenga, yanabomoa and for your info bnp and edl the always get famous for a week or two after the incident then baada ya mwezi husikii habari zao tena because of narrow mind they possess.

Two days ago itv(uk) done the survey and 84% of uk citizens says they will never join bnp or edl (fact)
To conclude, EVERY RELIGION HAS THE BLACK SHEEP, and unfortunately people choose what to see,

I hope I did not offend you in anyway.
kahtaan hii lecture imekaa vizuri na imejaa facts za kutosha hata kubadilisha akili na mawazo ya wafuasi wa BNP na EDL.
 
Last edited by a moderator:
kahtaan hii lecture imekaa vizuri na imejaa facts za kutosha hata kubadilisha akili na mawazo ya wafuasi wa BNP na EDL.

asante Izz kwa Kuelewa ukweli, nasikitika kuona watu karne ya 21 bado wanaishi maisha ya kusikiliza radio na kuangalia tv na magazeti halafu bila kuzama kwenye ukweli basi wanaamua kuamini kila wanacho ambiwa na kusoma. matokeo yake jamii ina vurugika na chuki kuongezeka,
 
Last edited by a moderator:
asante Izz kwa Kuelewa ukweli, nasikitika kuona watu karne ya 21 bado wanaishi maisha ya kusikiliza radio na kuangalia tv na magazeti halafu bila kuzama kwenye ukweli basi wanaamua kuamini kila wanacho ambiwa na kusoma. matokeo yake jamii ina vurugika na chuki kuongezeka,

Baadhi ya vichwa vya watu vimejaa mawazo mgando, hatutaki kuutafuta ukweli hata kama mazingira ya kuutafuta yanaruhusu!
 
Back
Top Bottom