sorry inategemea na mtu manake haya mambo ni genetic, mazingira na lishe, kwa niliowasikia wengine miezi mitatu, minne na kuendelea mpaka mwaka au mwaka na nusu, Wengine huwa hawaendi kwenye siku zao mpaka waache kunyonyesha, kama nilivyosema inategemea hakuna muda fixed.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.