The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,110
- 115,874
Na wewe unamwachia kazi zote mkeo?
ninao wawili
wanapeana zamu...
Na wewe unamwachia kazi zote mkeo?
Tuliona tumetimiza haki zetu zote kwenu tena bado mnataka haki zenu kwetu tuzifanye sisi ndio maana tunataka haki sawa, tunapika, tunafua, malezi ya watoto, sasa hivi tunalipa karo za shule,kodi za nyumba ,tunawanunulia magari,
hayo yote uliyoyasema
ndio ninayotaka anifanyie kwasababu hayo ndo majukumu yake,kwani wakati
anakubali kuolewa hakujua kuwa atatakiwa kufanya mambo hayo?
Na wewe unafanya nini? Maana siku hizi ada za watoto,bili za maji na umeme na kodi za meza zote tunachangia, kama nyinyi mnasaidiwa kwa nini nanyi msisaidie wenzenu?
ninao wawili
wanapeana zamu...
na wewe unawafanyia nn?
natafuta wa tatu lol
kunanihiiii sio usaidizi,hiyo ni haki ya wanandoa.
kwani wakati nakuoa nilikwambia nakuoa kwa ajili ya chakula cha usiku tuu,hujui kuwa wengine wanaoa ili wafuliwe,wapikiwe sasa ukianza kumwambia ayafanye hayo utakuwa unamkosea.
Wakati Adamu na Hawa wanatimuliwa Edeni Mungu alimwambia Eva utazaa kwa Uchungu na Adamu utakula kwa jasho. Kwa maana hii ke kazi yake ni kuzaa tu na me kufanya kazi zote. Mmepotosha maana ya Mungu na kuleta ubinafsi wenu, maudhi yenu, masimango yenu ndo yametufanya tujitetee.
Ndo maana talaka zinaongezeka, kumbe mnaoa ,mpate watumishi wa ndani, na si mke
natafuta wa tatu lol
ahahhahah iko kazi...ni kwasababu ha
wewe ukiwa wa tatu itakuwa bomba saana lol
kwa nini itakuwa bomba?
your name Sashel...sounds bomba sana lol