kwamtoro
JF-Expert Member
- Nov 15, 2010
- 4,922
- 3,244
Woga wangu wa kutokujua. nitakuwa na furaha? Nitapata ugumu? Nitashidwa?
Ni ukurasa mwingine mkubwa katika maisha yangu, sijui itakavyo kuwa. Nasikia ushauri na hadithi za waliopo kwenye ndoa na wale ambao walikuwepo sasa wapo njee ya ulingo, zinachanganya sana.
Woga mwingine ni wa kuoa mtu siyo sahihi katika maisha yangu. Kisha itazaliwa unhappy marriage. Hali hii itadumu mpaka siku ya kufa sababu katika akili yangu amna wazo la divorce. Wazo langu kubwa ni kuwa na ndoa ya furaha
Je mwana MMU, woga wako wa kuoa/kuolewa ni upi?
Ni ukurasa mwingine mkubwa katika maisha yangu, sijui itakavyo kuwa. Nasikia ushauri na hadithi za waliopo kwenye ndoa na wale ambao walikuwepo sasa wapo njee ya ulingo, zinachanganya sana.
Woga mwingine ni wa kuoa mtu siyo sahihi katika maisha yangu. Kisha itazaliwa unhappy marriage. Hali hii itadumu mpaka siku ya kufa sababu katika akili yangu amna wazo la divorce. Wazo langu kubwa ni kuwa na ndoa ya furaha
Je mwana MMU, woga wako wa kuoa/kuolewa ni upi?