Wizkid afanya bonge la show Uingereza

Nakumbuka 2017-2018 revival ya davido, but this is different
Mind you wiz na davido wana over a decade sasa na kizazi kipya kinakuja kwa kasi, ndio wana wind up hivo na ameshajulikana mwenye kipaji ni yupi.
alfu kidayo kwann hatumii nguvu. i wonder😀
 
Wizkid namfahamu tangu 2009, davido 2011, burna boy 2012.
Kibongo bongo davido ni popular kuliko wizkid kwasababu ya ile collab na diamond + nyimbo zake nyingi ni za club scene( makelele coz hana kipaji)
Burna - nampenda ila he’s basic, aina ya mziki anafanya ipo sana Uganda. Sema nigeria ni mainstream na pia I guess ni riziki yake tu coz alipotea sana hadi kuibuka tena 2018
Wizkid - naomba ugoogle accolade zake, ni nyingi na hajitambi unlike davido na burna, hawa wangefanya aliyoyafanya wizkid tusingelala.
I could go on and on all day long...

Wewe ni jinsia gani ningependa kufahamu
Hacha maswali ya kitoto mkuu kuna mwanaume analowana?
 
Wizkid namfahamu tangu 2009, davido 2011, burna boy 2012.
Kibongo bongo davido ni popular kuliko wizkid kwasababu ya ile collab na diamond + nyimbo zake nyingi ni za club scene( makelele coz hana kipaji)
Burna - nampenda ila he’s basic, aina ya mziki anafanya ipo sana Uganda. Sema nigeria ni mainstream na pia I guess ni riziki yake tu coz alipotea sana hadi kuibuka tena 2018
Wizkid - naomba ugoogle accolade zake, ni nyingi na hajitambi unlike davido na burna, hawa wangefanya aliyoyafanya wizkid tusingelala.
I could go on and on all day long...
Uko vzr Dada!
 
Huyu jamaa nae si kashikwa MKONO na Sadala, still bado anakimbiza na huyu mwamba soko la Ulaya na US kalishika sana mwaka huu, kuifikia records ya nyimbo ya Essence swala dogo.

NB:Ogopa sana mawazo ya kijinga yanayo ongozwa na chuki.
Wiz kashikwa mkono na sadala? Ama sio wiz mnaija pengine unasemea wiz mbongo
 
Sio kwamba wasanii wetu watashindwa kujaza huko kwenye maukumbi makubwa wenzetu wana diaspora wengi sana tofauti na sisi lakin kingine pia wap vizuri kwenye live performance ukilipia show Kama ya burn boy huwezi jutia kiingilio chak
Live performance ya wabongo kuchoshana tu, mtu ulipie kupata burdani cha kushangaza msanii anapanda jukwaani anataka anakuanzishia wimbo shabiki umsaidie kuimba muda wooote 🤣🤣🤣🤣🤣
 
Huyo bwa mdogo anajua sana na yuko anga hizo kitambo tu hanaga makelele. Kuna Tekno pia watu wanamchukulia poa ile nae yuko vizuri sana sema michongo ya mamtoni sio kivilee.
Davido naona kaamua kutulia karidhika,Burna boy soon atamfuata,Peter Square zamani sana kajipiga off anakula matunda tu.
Hao jamaa wana hela ndeefu sana na hamna kelele na zinaingia tena.
Huku kwetu
Utaskia "aga a give my cucumber and you hug mi so had aga eeh ma baby warawara you give me avocadoo oooh wacha weee bebiii ayem your sweet papa +++?
Whats this🙆‍♂️.
Hapo ukute yupo kitumbua yule mmakonde jukwaani utakoma.
 
Wiz kashikwa mkono na sadala? Ama sio wiz mnaija pengine unasemea wiz mbongo
Kwa hiyo akishikwa mbongo nyota inachukuliwa, mnaija nyota inabg'aaa. Tena huyo mwaka juzi baada ya kupiga show akaenda kabisa Madale kumpa 5 Sadala.
 
Huyo bwa mdogo anajua sana na yuko anga hizo kitambo tu hanaga makelele. Kuna Tekno pia watu wanamchukulia poa ile nae yuko vizuri sana sema michongo ya mamtoni sio kivilee.
Davido naona kaamua kutulia karidhika,Burna boy soon atamfuata,Peter Square zamani sana kajipiga off anakula matunda tu.
Hao jamaa wana hela ndeefu sana na hamna kelele na zinaingia tena.
Huku kwetu
Utaskia "aga a give my cucumber and you hug mi so had aga eeh ma baby warawara you give me avocadoo oooh wacha weee bebiii ayem your sweet papa +++?
Whats this🙆‍♂️.
Hapo ukute yupo kitumbua yule mmakonde jukwaani utakoma.
😂
 
Kwa hiyo akishikwa mbongo nyota inachukuliwa, mnaija nyota inabg'aaa. Tena huyo mwaka juzi baada ya kupiga show akaenda kabisa Madale kumpa 5 Sadala.
Wiz alikuwepo anang'ara toka zamani labda useme kwa bongo wengi walikuwa hawamjui! Ila sio kusema eti sadala kumtangaza kwao na dunia nzima
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom