S senetor mageja New Member May 27, 2012 1 0 May 29, 2012 #1 hivi nikwel kwamba kila kiongoz aliyepata mafanikio ni mwizi au amehujumu uchumi wa nchi yetu? nini mawazo yako juu ya mtazamo huu.
hivi nikwel kwamba kila kiongoz aliyepata mafanikio ni mwizi au amehujumu uchumi wa nchi yetu? nini mawazo yako juu ya mtazamo huu.
Gama JF-Expert Member Jan 9, 2010 13,266 4,716 May 29, 2012 #2 Nyerere alifanikiwa sana, sidhani kama aliiba, Jery Lawrings alifanikiwa sana, sidhani kama ilikwia, Nelson Mandera alifanikiwa sana , sidhani kama alikwiba.
Nyerere alifanikiwa sana, sidhani kama aliiba, Jery Lawrings alifanikiwa sana, sidhani kama ilikwia, Nelson Mandera alifanikiwa sana , sidhani kama alikwiba.
SIMBA WA TARANGA JF-Expert Member Feb 14, 2012 987 220 May 29, 2012 #3 senetor mageja said: hivi nikwel kwamba kila kiongoz aliyepata mafanikio ni mwizi au amehujumu uchumi wa nchi yetu? nini mawazo yako juu ya mtazamo huu. Click to expand... Akiwa ni Gamba lazima awe mwizi.:crazy:
senetor mageja said: hivi nikwel kwamba kila kiongoz aliyepata mafanikio ni mwizi au amehujumu uchumi wa nchi yetu? nini mawazo yako juu ya mtazamo huu. Click to expand... Akiwa ni Gamba lazima awe mwizi.:crazy: