Wizi wa pikipiki Bunda Mara

Wizi wa pikipiki Bunda Mara

jaffari yogo

JF-Expert Member
Joined
Apr 3, 2014
Posts
685
Reaction score
148
Pikipiki aina ya kinglion nyekundu imeibiwa hapa bunda yenye no. Mc 654 bku cc 150.1 chassis ltbpk8bg6g2k10745 engine no kl157fmi16j10669. Tunaomba ushirikiano wenu.

Mawasiliano 0765751413, 0629155658.
 
Zifungeni chip hizo pikipiki zikiibiwa unajua zilipo kupitia mfumo wa GPS
 
Kuna chip kama laini ya simu zinaunganishwa kupitia internet unafunga kwenye kitu chako chochote chenye thamani mfano begi,gari,pikipiki,TV,simu,laptop, mifugo,nk kikiibiwa au kupotea ni rahisi kukifatilia kupitia mifumo ya mawasiliano ili kumpata mwizi sababu kinakuwa kimefichwa sehemu asiyoweza kugundua na ujuavo tukio LA wizi huwa halizidi dakika 20.Kuna kampuni zinazofunga chip hizo mfano Car track, sido DSM kuna ukiulizia kuna MTU anafunga system hizo za kuzuia wizi wa bodaboda.
 
Kuna chip kama laini ya simu zinaunganishwa kupitia internet unafunga kwenye kitu chako chochote chenye thamani mfano begi,gari,pikipiki,TV,simu,laptop, mifugo,nk kikiibiwa au kupotea ni rahisi kukifatilia kupitia mifumo ya mawasiliano ili kumpata mwizi sababu kinakuwa kimefichwa sehemu asiyoweza kugundua na ujuavo tukio LA wizi huwa halizidi dakika 20.Kuna kampuni zinazofunga chip hizo mfano Car track, sido DSM kuna ukiulizia kuna MTU anafunga system hio.
Hiyo chip naweza kumfungia mke wangu ili iwe rahisi kum truck.
 
Kuna chip kama laini ya simu zinaunganishwa kupitia internet unafunga kwenye kitu chako chochote chenye thamani mfano begi,gari,pikipiki,TV,simu,laptop, mifugo,nk kikiibiwa au kupotea ni rahisi kukifatilia kupitia mifumo ya mawasiliano ili kumpata mwizi sababu kinakuwa kimefichwa sehemu asiyoweza kugundua na ujuavo tukio LA wizi huwa halizidi dakika 20.Kuna kampuni zinazofunga chip hizo mfano Car track, sido DSM kuna ukiulizia kuna MTU anafunga system hizo za kuzuia wizi wa bodaboda.
Hivi hizo chip bei yake ni kiasi gani kuifunga,

Na kwa watu wa mikoani wanaweza kuzipataje maana kama huyo aliyeibiwa yupo bunda
 
Presha yote ya nn sasa mwanadamu ajungiki we mwamini tu kwani una shaka na nyendo zake
 
toeni maelezo basi ya kutosha sasa mtu akisema kuna chipi kuna chip haisaiidii wekeni taarifa ofisi za hao jamaa ziko wapi bei ikoje na ukifungiwa unatakiwa uwe na kitu gani cha kukupa muongozo wa kufuatilia?
 
toeni maelezo basi ya kutosha sasa mtu akisema kuna chipi kuna chip haisaiidii wekeni taarifa ofisi za hao jamaa ziko wapi bei ikoje na ukifungiwa unatakiwa uwe na kitu gani cha kukupa muongozo wa kufuatilia?
hizo ni gps tracker, nitakufungia inabidi uwe na simu bei ni laki 2 na laki 3, nicheki kwenye namba 0714890018 au email info@isecure.co.tz
 
Duh! Hiyo bei mbona iko juu kiongozi?
hizo ni bei za chini kabisa kwenye soko, ukienda makampuni mengine bei ni kubwa sana na gharama ya kuhudumia kifaa inaweza fika mara tano ya bei hiyo kwa mwaka.
 
hizo ni bei za chini kabisa kwenye soko, ukienda makampuni mengine bei ni kubwa sana na gharama ya kuhudumia kifaa inaweza fika mara tano ya bei hiyo kwa mwaka.

ipi bora sasa kwa pikpik bima kubwa ni laki na 20 na gps laki mbili mpaka tatu.....kwangu naona bora bima ndugu na kama umesema lazima niwe na simu na ikitokea ukaibiwa pikpik na simu wakaiiba ndio itakuwaje, ukishanifungia wewe utakuwa na mimi wakati imeibiwa au wewe ukifunga umemaliza itabidi nitafute mtu wa kunisaidia kutafuta hasa polisi.....
 
Hiyo chip naweza kumfungia mke wangu ili iwe rahisi kum truck.
Inawezekana, ila uweke kwenye kitu. Kwa mkeo nashauri mnunulie simu kali yenye chip ambayo iko connected na mfumo huo. Jiandae kwa pressure na mambo kama hayo. Pole sana
 
Hivi hizo chip bei yake ni kiasi gani kuifunga,

Na kwa watu wa mikoani wanaweza kuzipataje maana kama huyo aliyeibiwa yupo bunda
Bei zinatofautiana kulingana na mtoa huduma na kumbuka kuna malipo ya kila mwezi kama king'amuzi tu..Chip zenyewe ni hizihizi kama za simu zetu hizihizi
 
Kuna chip kama laini ya simu zinaunganishwa kupitia internet unafunga kwenye kitu chako chochote chenye thamani mfano begi,gari,pikipiki,TV,simu,laptop, mifugo,nk kikiibiwa au kupotea ni rahisi kukifatilia kupitia mifumo ya mawasiliano ili kumpata mwizi sababu kinakuwa kimefichwa sehemu asiyoweza kugundua na ujuavo tukio LA wizi huwa halizidi dakika 20.Kuna kampuni zinazofunga chip hizo mfano Car track, sido DSM kuna ukiulizia kuna MTU anafunga system hizo za kuzuia wizi wa bodaboda.
Sh.ngap zinauzwa hizo chip mkuu?
 
Back
Top Bottom