sinafungu
JF-Expert Member
- Feb 13, 2010
- 1,527
- 868
wadau wenye kufaham; kuna baadhi ya vituo hawakubali kabisa kuweka mafuta kwenye gallon za lt tano. na kuna baadhi ya vituo ukifika na usafiri wako tu(pump ni zaidi ya moja) utakuta wanakuelekeza pump maalumu, kwa mtazamo wangu kwa hayo mawili huwa nina shaka na kituo cha namna hiyo, labda tungejuzana kwa wale wenye uhakika na baadhi ya vituo salama.