M Makojo JF-Expert Member Joined Jan 23, 2014 Posts 4,820 Reaction score 6,013 May 18, 2024 #21 nyakubonga said: Hizo bati gauge 28 zinauzwa milioni 20 bando moja... Bado fundi, mbao, cement na usafiri... Na hilo sim tank hapo pembeni... Kimsingi ukipiga hesabu vizuri inaweza kuzidi hiyo fifite Click to expand... Wewe endelea kuishi kwenye nyumba ya kupanga!! Hesabu za ujenzi tuachie sisi wenye nyumba zetu
nyakubonga said: Hizo bati gauge 28 zinauzwa milioni 20 bando moja... Bado fundi, mbao, cement na usafiri... Na hilo sim tank hapo pembeni... Kimsingi ukipiga hesabu vizuri inaweza kuzidi hiyo fifite Click to expand... Wewe endelea kuishi kwenye nyumba ya kupanga!! Hesabu za ujenzi tuachie sisi wenye nyumba zetu
M Maghayo JF-Expert Member Joined Oct 5, 2014 Posts 20,300 Reaction score 47,328 May 18, 2024 #22 Nkarahacha said: Wadau milioni 50 kwenye zimetafunwa na watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Muleba mkoani Kagera na serikali Ipo kimya. Ona kibanda hiki hata mil 4 hazifiki. View attachment 2991703 Click to expand... Yani million 50 mnaonaa ni nyiiingiii. Wabongo bana yani hiyo ni kama usd 19k tu. Kweli tumetofautiana.
Nkarahacha said: Wadau milioni 50 kwenye zimetafunwa na watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Muleba mkoani Kagera na serikali Ipo kimya. Ona kibanda hiki hata mil 4 hazifiki. View attachment 2991703 Click to expand... Yani million 50 mnaonaa ni nyiiingiii. Wabongo bana yani hiyo ni kama usd 19k tu. Kweli tumetofautiana.
M Maghayo JF-Expert Member Joined Oct 5, 2014 Posts 20,300 Reaction score 47,328 May 18, 2024 #23 nyakubonga said: Hizo bati gauge 28 zinauzwa milioni 20 bando moja... Bado fundi, mbao, cement na usafiri... Na hilo sim tank hapo pembeni... Kimsingi ukipiga hesabu vizuri inaweza kuzidi hiyo fifite Click to expand... Hahaha cheka balaa.
nyakubonga said: Hizo bati gauge 28 zinauzwa milioni 20 bando moja... Bado fundi, mbao, cement na usafiri... Na hilo sim tank hapo pembeni... Kimsingi ukipiga hesabu vizuri inaweza kuzidi hiyo fifite Click to expand... Hahaha cheka balaa.
Nguva Jike JF-Expert Member Joined Jan 22, 2018 Posts 1,291 Reaction score 1,861 May 18, 2024 #24 Nkarahacha said: Wadau milioni 50 kwenye zimetafunwa na watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Muleba mkoani Kagera na serikali Ipo kimya. Ona kibanda hiki hata mil 4 hazifiki. View attachment 2991703 Click to expand... Tufunge Sana na maombi juu kila kitu kitakaa sawa
Nkarahacha said: Wadau milioni 50 kwenye zimetafunwa na watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Muleba mkoani Kagera na serikali Ipo kimya. Ona kibanda hiki hata mil 4 hazifiki. View attachment 2991703 Click to expand... Tufunge Sana na maombi juu kila kitu kitakaa sawa