Sijutii kuwa mteja wa kampuni yoyote ya simu Tanzania,HASAHASA VODACOM
Hayo matatizo munayapata kwa kutokuwa makini.
Mods futa hizi pumba muende ofisini kwao si mnapajua, mumetuchosha Arrghh
Voda ni wezi wakupindukia nikwambie yaani mie ndo nilihama kitaaambo sana yaani wanakuwekea mihuduma yao hata hujaitisha ukiweka pesa unaambiwa haitoshi washenzi sana hawa Voda. Tigo wanaudhi na sms nyiiingi za kudaiwa lakini si wezi kama Voda
Wadau poleni na majukumu ya kila siku.
Kampeni hii ni maalumu kabisa ili kuweza kumwokoa Mtanzania anayeibiwa na kampuni hii ya mawasiliano inayowaibia wananchi mchana kweupe kabisa wizi wao ni huu, ukiweka salio labda 500 kabla haujajiunga wanakata kama shilingi 20 hadi 40 , unaweza kuweka pesa ili ujiunge na Kifurushi halafu pesa ipo wanakueleza haitoshi lakini pia kukuunganisha na huduma zao za kulipia kwa lazima bila hiyari yako hivyo tuwahamasishe ndugu zetu wahame hii Kampuni hawana adabu kwa wateja wao.
Mi niliishalalamika kwa kuandika email TCRA baada ya vodacom kuniibia laki moja ndani ya masaa 24. Sikuwahi kujibiwa email yangu nikajua hii ni kampuni ya "wakubwa". Watakuja mwakani kuomba kura zako uwape urahisi.
Ilitakiwa fedha yoyote tunayokatwa na vodacom kwa sababu zozote lazima ije na notification au niulizwe kwanza but wao wanakata bila ridhaa ya mwenye fedha, huo ni wizi
Sijutii kuwa mteja wa kampuni yoyote ya simu Tanzania,HASAHASA VODACOM
Hayo matatizo munayapata kwa kutokuwa makini.
Mods futa hizi pumba muende ofisini kwao si mnapajua, mumetuchosha Arrghh
Mbona unahamasisha watu waihame kampuni kwani ukihama wewe peke yako utapungukiwa nini? Awali ya yote ni kwamba una papara,umeshawahi kufika katika ofisi za Vodacom ukauliza swali lako? Kabla hujaenda huko fanya hili: Kabla ya kuweka salio hakikisha mobile data iko OFF katika simu yako,inawezekana unapoweka hela huwa zinaanza kuliwa kama Internet Charges. Tafakari kabla ya kuchukua hatua!
Msafara wa kenge hawakosi mijusi,Mwizi anajulikana kwa kauli zakeSijutii kuwa mteja wa kampuni yoyote ya simu Tanzania,HASAHASA VODACOM
Hayo matatizo munayapata kwa kutoekuwa makini.
Mods futa hizi pumba muende ofisini kwao si mnapajua, mumetuchosha Arrghh