ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 19,543
- 44,690
Walikuja vijana wa will wamevalia t shirt za Vodacom mpesa wakamkuta maza angu wakamwambia lete line yako tuibadilishe iwe line ya chuo Sasa mama akatoa line yake akawapa wakaweka kwenye simu yao Kisha wakaanza KUFANYA mautundu yao kumbe wakaenda kwenye kutuma hela wakatuma hela Kisha wakamdanganya mama aweke namba ya siri kwenye simu. Kwa kuwa mama anajua anaungiwa kifurushi akachukua simu yao Yenye line yake Kisha akaweka namba ya siri kumbe anawatumia hela bila kujua.wakachomoa line haraka wakapita hivi..baadae ndo maza anapata meseji kwamba hela ilitumwa kwenye namba fulani Tena Ni ya Tigo..shilingi 80000
Hali ya hewa sio nzuri mitaani.
Hali ya hewa sio nzuri mitaani.