Wizi mkubwa waja Tanzania

Wizi mkubwa waja Tanzania

u nahisi nawe umekuja na fikra za kulishwa......

mku
Kulishwa hulishwa mtoto mchanga na mgonjwa mahututi. Sipendi watu wenye fikra mgando ambao wanalazimisha kila wasemalo tufuate mkumbo NO WAY
Enzi ya zidumu fikra za mwenye kiti zimekwisha na ndani ya jamvi hili ninatarajia mawazo tofauti kwenye masuala mbali mbali na 'interaction ndiyo inatoa alternative options.
Tusilazimishane kufikiri 'inside the box tu' Jamvi hili linapaswa kuwa la great thinkers, with different opinions on various issues lakini kutofautiana kimawazo hakustahili kumweka stemp mtu mwingine.
 
mim naamini ipo cku mapinduzi yaja,na Tanzania itabadilika tu,wapo watu wenye uchungu na nchii hii,ila lazima tukumbuke kuwa NO SWEET WITHOUT PAIN.
 
Back
Top Bottom