Ni vyema niseme ili panapowezekana na dalili zitakapojitokeza tuwe macho kupingana nao. Katika mazungumzo yangu na rafiki wa karibu (ON FURAHI DAY) anayefanya kazi kwenye wizara nyeti inayohusika na fedha,kuna mipangilio ya kufanywa wizi wa fedha nyingi kama ule wa EPA ili kufanikisha mbio za uchaguzi 2015. Mipango hiyo inaratibiwa kwa usiri mkubwa na vigogo serikalini, familia zao na wapambe wao wa karibu. Hii imenifanya nitafakari maneno ya Dr. Slaa juu ya uteuzi wa Philip Mangula kuwa ana harufu ya EPA.
Jamani hii nchi ni yetu wale tutakaoona au kutumiwa (katika maeneo yetu ya kazi) kwa namna yoyote kutimiza hayo tutoe mbinu hizo chafu hapa JF. mod usitubanie post zitakazokuja ili tuikomboe nchi hii na umaskini.
FOOD FOR THOUGHT. NICE WEEKEND.
Jamani hii nchi ni yetu wale tutakaoona au kutumiwa (katika maeneo yetu ya kazi) kwa namna yoyote kutimiza hayo tutoe mbinu hizo chafu hapa JF. mod usitubanie post zitakazokuja ili tuikomboe nchi hii na umaskini.
FOOD FOR THOUGHT. NICE WEEKEND.