Wizi Mabibo Hostel

Miye najiuliza,
wezi wanapotoka na pc & nguo pale getini,
wale kaka zangu auxiliary_police wanakuwa wapi?

Au wao kazi yao kukamata pair za wanachuo mida ya 00:00+ pale parking,
&
wanaomwaga maji dirishani tu?!
 

Polen sana wadau. Jarbuni kuongeza umakin kam hali si shwarii
 
yote mwachie mungu, atakujalia zaid ya hayo binadamu wabaya sana
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…